Paroco
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 2,389
- 10,595
mtaani pagumu๐๐๐๐๐๐๐Hhha unakataa uahauri wabure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtaani pagumu๐๐๐๐๐๐๐Hhha unakataa uahauri wabure
779,000Hivi mshahara wa mwalimu wa degree sayansi basic ni kiasi gan Kwa anaeanza?
Ili ubaki mwnyw uombe ajira au siyo ๐ tulia na wenzako nao waombe ajira ili mkapambane wote hukoVijana mkajiajili achaneni nahizi ajira
Hhaa ubinafsi tutabanana hum humoIli ubaki mwnyw uombe ajira au siyo ๐ tulia na wenzako nao waombe ajira ili mkapambane wote huko
Nipo cafe hapa nawatupia madogo mbona zinaenda tu zingatia categoryKuna mwalimu yeyote kafanikiwa kufanya application,...
Nyingi Ni failed ...
Huu mfumo sio poa kabisa
na bado interviewMwaka huu tutaona Mengi ๐๐๐
Unaruhusu mwanzo niliweka ambavyo non certified now nimedit nimeweka certifiedMfumo hauruhusu kutoa vyeti vya zamani ili kuweka vipya? Mwenye kufahamu tafadhali
Subiri utaratibuNauliza hivi, mfano ukiomba mikoa kama 7 kwa somo 1 hlf usaili utafanyika sku 1 au hapo sjaelewa bado.
Ngoja tuone si watatoa majina.Kwahiyo washaajiriwa hao walimu elfu 11? Hiyo ni FUTUHI kama FUTUHI nyingine.
Angalia program category mkuu tatizo liko hapo inaonyesha course yako na program category Yake kuna shida hapoIna 92% mkuu na kila nikiomba inakataa JOP APPLICATION FAILED. Mpaka nachoka.
Anawahi. Ukute first in first out watazingatia mkuuSasa mkuu, yamepita masaa 17 tangu ajira zitangazwe na ww umeshafikia kuomba kazi ndani ya huo muda, una uhakika umekamilisha mambo yote yanayohitajika kwenye mfumo?
Utaitwa kote kama unavigezo lakini tatizo linakuja kama usaili umapangiwa siku moja na unafanyika Kwa Mda mmoja kama hapo itabidi uchague kipi unachotaka, kama usaili unafanyika siku tofauti hapo umepona NI kujipanga Tu na nondo za classUnaweza kuomba masomo mawili tofauti kwakuwa kila somo lina sifa zake lakini utaitwa kwa somo moja ambalo wataona unafaa zaidi!
Nadhani usaili itakuwa siku 1 itakuwa ngumu but let's wait.Utaitwa kote kama unavigezo lakini tatizo linakuja kama usaili umapangiwa siku moja na unafanyika Kwa Mda mmoja kama hapo itabidi uchague kipi unachotaka, kama usaili unafanyika siku tofauti hapo umepona NI kujipanga Tu na nondo za class
Hapo hapo ulipoitype ukisha hakikisha uko Sawa iwekwe iwe kweny pdf then attach kwenye mfumo NI simple hakikisha attachment zote ziwe kwenye pdf mkuuYaani niiprint kwanza ndo niiscan au manake ndo naandika hapa๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Nilikua sina
Angalia hapo status failed for which reason wanaonyesha kila kitu mkuuIna 92% mkuu na kila nikiomba inakataa JOP APPLICATION FAILED. Mpaka nachoka.