Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Heey! wakuu samahani naomba kuuliza hivi ni laazma CV iwe printed!!? Au katika kuongeza ufanisi inatakiwa iwe hivyo msaada plz👃👃
Iwe printed kvp, kwan c unaweka softcopy kwenye system au sijakuelewa?
 
Iwe printed kvp, kwan c unaweka softcopy kwenye system au sijakuelewa?
Yaani niiprint kwanza ndo niiscan au manake ndo naandika hapa😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆Nilikua sina
 
Yaani niiprint kwanza ndo niiscan au manake ndo naandika hapa😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆Nilikua sina
Kwan hapo hapo ulipotype huwezi kuipost moja kwa moja kwenye system mpaka ukaiprint?
 
hapana mkuu hapo zipo nafasi za walimu ngazi zote
yaani msingi na sekondari,walimu wa grade IIIA ,Diploma na degree labda hujapitia vzr Tangazo ndugu mwalimu
Nilivyopitia mimi
Hao daraja la IIIB ni diploma na daraja la IIIC ni degree. Sasa rudi kasome tena utaona diploma wamepewa nafasi chache sana ambazo ni Food and Nutrition na Commerce
Ukija kwa hao daraja la IIIC wao ndio wenye degree na ndio wamepewa nafasi nyingi kwenye
FIZIKIA
MATH
GEOGRAPHY
BAIOLOJIA
Swali langu likawa mbona hayo masomo wapo pia wa Diploma na hawajaweka hapo?
 
Lakin bado nina kigugumiz juu ya usaili. Kuna mtu kamaliza 2015 na hata sehem ya kujitolea kufundishq alikosa akaamuq kujikita kwenye bodaboda, Leo unatangaza ajira na unamuingiza kwenye usaili na Graduate wa 2023 fresh kabisaa kutoka chuo, kichwa bado cha moto. Freshers ananafasi nzuri zaidi ya kupita kwenye usaili na kupata ajira huku yule wa 2015 akiendelea kufukuza upepo
Lipi jema sasa? Wakipangwa kwa miaka mnalalmika,wakikaribishwa woote mnalalamika!! Ipi bora?
 
Serikali imatengaxa ajira za ualimu 2024 zaidi ya nafasi 11,000 fungua PDF kuona

View attachment 3047683
---
TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.

TANGAZO LINASEMA HIVI:

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.

NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:

1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23

2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29

3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2

4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2

5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2

6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544

7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633

8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662

9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515

10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310

11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211

12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412

13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.
Mitano tena
 
Sasa mkuu, yamepita masaa 17 tangu ajira zitangazwe na ww umeshafikia kuomba kazi ndani ya huo muda, una uhakika umekamilisha mambo yote yanayohitajika kwenye mfumo?
Mimi nilikuwa na account ajira portal mkuu ,sio kwamba Leo ndio naanza kufanya registration..
 
Back
Top Bottom