Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 441
- 1,065
Kutoa visivyo kuwa certified kuweka vilivyokuwa certified.Option ya edit inakataaVipya kwa maana Gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoa visivyo kuwa certified kuweka vilivyokuwa certified.Option ya edit inakataaVipya kwa maana Gani?
Wasiliana na wahusika watumie emailKutoa visivyo kuwa certified kuweka vilivyokuwa certified.Option ya edit inakataa
Hawa walimu sio tu usaili wapewe na mitihani watakaofaulu ndo wapewe hiyo ajira tuna kundi kubwa la walimu wa hovyo
Naomba viongozi msome hii sms na muifanyie kazi]
Safari hii kazi wanayo 😂 tena wana Interview tatu Written, practical na Oral 😂Nilichogundua hawa waalimu wanatetemeka ata kabla ya usaili😁😁😁
inabidi kwenda nao taratibu
Maaana huu mfumo kwao hawajauzoea ,walizoea wa konba komba yaani ukituma maombi tuu unakaa unakunywa pepsi ya baridi au juisi ya tende unasubiri post umepangwa wapi yaani zile za ubwete ubwete😁😁 utoki jasho maana ata vyeti walikua hawathibitishi kwa wanasharia /mahakamani
Kwao huu mfumo ni usaili tosha
Au watakaofaulu interview zote tatu Written, practical na Oral wapewe tena mtihani ili kuthibitisha walifanya vzr kwenye hizo usaili walizofanya 😂Hawa walimu sio tu usaili wapewe na mitihani watakaofaulu ndo wapewe hiyo ajira tuna kundi kubwa la walimu wa hovyo
Naomba viongozi msome hii sms na muifanyie kazi]
MhuuuuuAu watakaofaulu interview zote tatu Written, practical na Oral wapewe tena mtihani ili kuthibitisha walifanya vzr kwenye hizo usaili walizofanya 😂
Maumivu mengn hayo ila bora kitu kuliko kukosa kitu.
😂 Interview ya kwanza kabisa ni h kuomba ajira kupitia ajira Portal, kuna wengi sana itafika deadline hawajakamilisha mambo muhimu na ndipo idadi ya kupunguzwa itakapoanzia hapo kabla ya interview yenyewe 😂Hatari sana... Hili swali nililitegemea kule Facebook ila sio hapa Jf
Hizo hizoWakuu msaada ...
Jamaa ali- certify vyeti vyake mwaka 2019 ,,, jee nakala hizo anaweza kuzitumia katika hizi ajira ,,, au anatakiwa aende tena mahakamani aka-certify na upya ili muhuri usije kuonekana wa zamani mno ???
Time travelling au sio?Taarifa za mwezi Septemba 2024 zilizovuja ni kwamba, waalimu zaidi ya laki mbili walifanyiwa usaili wa aina tatu
1: Written 2: Practical 3: Oral
Ili wapatikane waalimu 11,000 tuu 😂
Tena interview ziko tatu, written, practical na OralHapa kwenye huu mfumo wa ajira portal lazima walimu walie na kusaga meno mchujo ukianza
Kwa hili swali, aisee kazi mnayo KMMK 😂Mhuri wa mwanasheria unakaa kwenye copy au original
Sasa wanahitajika 11k halafu waalimu wasiokuwa na ajira wapo zaidi ya laki mbili, sasa hapo kwan unahitaji uganga kuelewa mambo yatakavyokwenda? 😂Time travelling au sio?
Huduma kwa watejaMfumo hauruhusu kutoa vyeti vya zamani ili kuweka vipya? Mwenye kufahamu tafadhali
Fanya edit kuweka hvy ambavyo n certified, halafu Tulia fanya mambo mengn, utavikuta vipo.Kutoa visivyo kuwa certified kuweka vilivyokuwa certified.Option ya edit inakataa
kwenye copy bwanaaa😆😆😆😆😆Mhuri wa mwanasheria unakaa kwenye copy au original
Kazi mnayo 😂Mhuuuuu