Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Huu mfumo wa ajira portal ni mfumo wa kibabe Sana kwa hyo vijana wanaoomba ajira hizi wa ualimu wawe nao makini . Usipogonga vyeti vyako kwa mwanasheria huitwi kwenye interview, usipoweka passport vizuri kwenye mfumo huitwi kwenye usaili Yan Mambo madogo yanakutoa mchezoni kizembe. Vijana wa education wawe makini Sana maana ni wageni wa mfumo.
Kumbe Kuna na mambo ya kupeleka vyeti Kwa mwanasheria
 
Kuna mwalimu hapo nmemuelekeza halafu tena anarudi tena kusema tofaut na nilivomwambia
Nilichogundua hawa waalimu wanatetemeka ata kabla ya usaili😁😁😁
inabidi kwenda nao taratibu
Maaana huu mfumo kwao hawajauzoea ,walizoea wa konba komba yaani ukituma maombi tuu unakaa unakunywa pepsi ya baridi au juisi ya tende unasubiri post umepangwa wapi yaani zile za ubwete ubwete😁😁 utoki jasho maana ata vyeti walikua hawathibitishi kwa wanasharia /mahakamani
Kwao huu mfumo ni usaili tosha
 
Hiyo postgraduate asiiweke kwenye mfumo wake .. akiiewaka tu hatawahi Tena kuomba nafasi za degree kupitia ajira portal
Lakini huu mfumo wa kihuni,kwanini wasiufanye ukawa na uwanda mpana kwa mwombaji kufanya atakacho,sasa mfumo kama nilijisajili nina diploma baadae nikajiendeleza hadi masters unashindwa kunitambua basi kuna shida sehemu.

Wahusika waurekebishe
 
Hawa walimu sio tu usaili wapewe na mitihani watakaofaulu ndo wapewe hiyo ajira tuna kundi kubwa la walimu Tanzania

Naomba viongozi msome hii sms na muifanyie kazi
Lazima waanze na Pepa then taratibu zingine za ajira zitafaata.
 
Lakini huu mfumo wa kihuni,kwanini wasiufanye ukawa na uwanda mpana kwa mwombaji kufanya atakacho,sasa mfumo kama nilijisajili nina diploma baadae nikajiendeleza hadi masters unashindwa kunitambua basi kuna shida sehemu.

Wahusika waurekebishe
Piga simu PSRS watakuja kusaidia. Au waimeli IPO hivyo miaka yote.
 
Wanasema hayawi hayawi yamekuwa sasa .TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.

TANGAZO LINASEMA HIVI:

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.

NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:

1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23

2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29

3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2

4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2

5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2

6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544

7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633

8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662

9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515

10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310

11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211

12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412

13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.

Kazi kwenu walimu mmeletewa Ajira mikononi mwenu.

##Mama Samia Hoyeeeeee
View attachment 3047555
CC Lucas Mwashambwa
 
Serikali imatengaxa ajira za ualimu 2024 zaidi ya nafasi 11,000 fungua PDF kuona

View attachment 3047683
---
TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.

TANGAZO LINASEMA HIVI:

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.

NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:

1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23

2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29

3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2

4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2

5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2

6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544

7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633

8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662

9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515

10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310

11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211

12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412

13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.
Haya madaraja yanamaanisha nini
A ni watu gani
B ni watu gani
C ni watu gani
 
Back
Top Bottom