Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Ni mwendo wa mikando….Zama zimebadilika sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwendo wa mikando….Zama zimebadilika sana
Huenda sikumuelewaHujui kitu usimpotoshe mwenzako,atoe vipi wakati hicho ndo kinampa sifa ya ualimu?
Hiyo postgraduate asiiweke kwenye mfumo wake .. akiiewaka tu hatawahi Tena kuomba nafasi za degree kupitia ajira portalHiyo postgraduate certificate itakuwa kama ni added advantage kwenye nafasi uliyoomba.
Mathalani wanahitajika Walimu wa Shahada ya kwanza, wewe unaweza kuomba kwakuwa una degree tayari lakini hiyo postgraduate certificate yako itakusaidia mbele ya safari Kazini
Wewe una sifa gani na unaomba nafasi gani? Kuna na asilimia 92 haimaanishi kila jambo liko sawaIna 92% mkuu na kila nikiomba inakataa JOP APPLICATION FAILED. Mpaka nachoka.
Mkuu soma soma tuu utatoboaHii ndo njia bora MTU smart anajiandaa anaenda mzigoni simple and easily .
Tukutane Ajira portal sasa.
Siku ya usaili ntafanya mazoezi makubwa Sana mpaka utumishi watashangaa.
Ooh........kumbe inaweza kuwa kikwazo cha kuchaguliwa kwao 🙌Hiyo postgraduate asiiweke kwenye mfumo wake .. akiiewaka tu hatawahi Tena kuomba nafasi za degree kupitia ajira portal
Hapo Ina maana ume over qualify kwa hyo huwezi kuomba bachelorOoh........kumbe inaweza kuwa kikwazo cha kuchaguliwa kwao 🙌
Nadhani ndiyo sababu Kuna mdau hapo juu kwenye post #92 ameonesha kukataliwa na mfumo kwasababu hiyoHapo Ina maana ume over qualify kwa hyo huwezi kuomba bachelor
Hakikisha kwenye kwenye Taarifa za PGDE pale kwenyeprogramme category uweke EDUCATION AND TRAINING afu kwemye programme name andika ya kwanza kabisa POSTGRADUATE DIPLOMA IN EDUCATION bila kusahu kua ttach cheti na transcrip yakeIT mkuu postgraduate nikafanya education kwenye Masomo ya IT
Ku over quarify huwa ni kwa mwenye diploma kuomba nafasi ya ngazi ya chetii,au mwenye degree kuomba nafasi ya ngazi ya diplomaNadhani ndiyo sababu Kuna mdau hapo juu kwenye post #92 ameonesha kukataliwa na mfumo kwasababu hiyo
Huu mfumo wa ajira portal ni mfumo wa kibabe Sana kwa hyo vijana wanaoomba ajira hizi wa ualimu wawe nao makini . Usipogonga vyeti vyako kwa mwanasheria huitwi kwenye interview, usipoweka passport vizuri kwenye mfumo huitwi kwenye usaili Yan Mambo madogo yanakutoa mchezoni kizembe. Vijana wa education wawe makini Sana maana ni wageni wa mfumo.Nadhani ndiyo sababu Kuna mdau hapo juu kwenye post #92 ameonesha kukataliwa na mfumo kwasababu hiyo
Bado huna ufahamu mkuuHiyo postgraduate asiiweke kwenye mfumo wake .. akiiewaka tu hatawahi Tena kuomba nafasi za degree kupitia ajira portal
Nadhani Walimu itakuwa Kwa mara ya kwanza nao wanaingia kwenye mfumo wa UsailiHuu mfumo wa ajira portal ni mfumo wa kibabe Sana kwa hyo vijana wanaoomba ajira hizi wa ualimu wawe nao makini . Usipogonga vyeti vyako kwa mwanasheria huitwi kwenye interview, usipoweka passport vizuri kwenye mfumo huitwi kwenye usaili Yan Mambo madogo yanakutoa mchezoni kizembe. Vijana wa education wawe makini Sana maana ni wageni wa mfumo.
Mfumo haujakaa sawa au siyo 😂Ndio mkuu ukirudi hapo kwenye post namba 92 utaona viambatanisho nadhani mfumo haijakaa sawa
Hata mim ndio swali langu hili.tusaidie jmn tujue.Hivi hapo kwa mfano kwenye chemistry naweza apply kila mkoa kwa sababu zimegawanywa.?
Hili swali nshatoa jibu lake, someni comments wazee acheni uvivuHata mim ndio swali langu hili.tusaidie jmn tujue.
Nimeona kaka, kwa mfano mim ni kingereza na goegraphy. Nitaandika barua mbili. Pia nitachagua mikoa miwili kwa masomo hayo si ndio hvo kiongozi?Hili swali nshatoa jibu lake, someni comments wazee acheni uvivu
interviewMwenye mjomba pale utumishi
hivi na walimu watapigwa interview au ni sandakalawe
Unaweza omba zote mbili lakini kwenye usahili utaitwa moja watakayo ona unafit zaidi!Nimeona kaka, kwa mfano mim ni kingereza na goegraphy. Nitaandika barua mbili. Pia nitachagua mikoa miwili kwa masomo hayo si ndio hvo kiongozi?