Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Written- Practical-OralMwenye mjomba pale utumishi
hivi na walimu watapigwa interview au ni sandakalawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Written- Practical-OralMwenye mjomba pale utumishi
hivi na walimu watapigwa interview au ni sandakalawe
Kubabaabake kwa hiyo hata wakiwa laki moja wote wataweza kuwafanyia interview au kuna optioninterview
Nilishaweka mkuu hata tangazo linahitaji qualification ya postgraduate ila BadoHiyo postgraduate asiiweke kwenye mfumo wake .. akiiewaka tu hatawahi Tena kuomba nafasi za degree kupitia ajira portal
Kwa majibu ya wadau huko juu.Limits ya kuomba ni mwisho mikoa mingapi? Na je unaweza kuomba Kwa masomo mawili tofauti?
Watatunyonya damu hawaWritten- Practical-Oral
Kwenye academic qualifiacation ulipakia taaluma ipi?Nilishaweka mkuu hata tangazo linahitaji qualification ya postgraduate ila Bado
Pitia vizuri Tangazo sijaona waliposema unachagua mkoaLimits ya kuomba ni mwisho mikoa mingapi? Na je unaweza kuomba Kwa masomo mawili tofauti?
Hakuna limit, Halafu ukiomba Mkoa mmoja hiyo hy application itatumika kwenye mikoa yote ambayo wanamuhitaj mtu wa kazi hyLimits ya kuomba ni mwisho mikoa mingapi? Na je unaweza kuomba Kwa masomo mawili tofauti?
Umakini muhimu sana lasivyo job application failed zitakuwa kama njuguPitia vizuri Tangazo sijaona waliposema unachagua mkoa
Nenda chini kwenye masharti ya jumla wameweka maelezo yote
Wakuu jitahidini sana kulisoma tangazo mkaelewa nyie walimu tunaowategemea,msikimbilie kutuma maombi tu wakati hata tangazo hujasoma lote ukaelewa
Hakuna cha kuomba mikoa miwili, em soma comments vzr msije kuingia chaka huko kwenye akaunti zenu.Kwa majibu ya wadau huko juu.
Km ulisoma masomo mawil unaweza omba kwa kila somo, yaan somo moja mkoa 1. Hvo utaomba mikoa miwili.
Ila usaili utaitwa ambako wao wanaona unafit
Kuna mwalimu hapo nmemuelekeza halafu tena anarudi tena kusema tofaut na nilivomwambiaWakuu jitahidini sana kulisoma tangazo mkaelewa nyie walimu tunaowategemea
Mbaga Jr usicheke mimi kunipa interview afadhali unizabe makofi😂Hakuna limit, Halafu ukiomba Mkoa mmoja hiyo hy application itatumika kwenye mikoa yote ambayo wanamuhitaj mtu wa kazi hy
Sasa mbona kwenye ajira portal wamezigawa kila mkoa kwa kila somoHakuna cha kuomba mikoa miwili, em soma comments vzr msije kuingia chaka huko kwenye akaunti zenu.
Barua moja inatumika kwenye mikoa yote ambayo wanataka mwalimu wa aina hy hy
Lazima mkandwe 😂Mbaga Jr usicheke mimi kunipa interview afadhali unizabe makofi😂
wengine tumeumbiwa kutetemeka
kila nikipitia machapisho yako unavotilia mkazo suala la interview nashikwa huzuni na mapigo yangu ya moyo yanakwenda mbio sana
Dah sasa hapo hujaelewa nn mkuu, c kila mkoa na uhitaji wake wa waalimu.Sasa mbona kwenye ajira portal wamezigawa kila mkoa kwa kila somo
Kumbe tumeishafika September? dunia hipo kasi sana.Hizo n taarifa za mwezi Septemba 2024 zilizovuja
Elewa neno taarifa zilizovujaKumbe tumeishafika September? dunia hipo kasi sana.
Jana nimetoka kuongea na mtu mkubwa wa utumishi ameniambia serikali haina hela ya kuendesha usaili wataita tuWritten- Practical-Oral
Wewe ndie mfariji wetu taarifa hizi zikawe za kweli Amina🙏📌📌Jana nimetoka kuongea na mtu mkubwa wa utumishi ameniambia serikali haina hela ya kuendesha usaili wataita tu