Acha uoga wewe utumishi hawajaanza kufanyiwa watu usaili leo! Wanafanya nyomi nyomi na wanafanya kwa kandaMimi nawashangaa hawa watu walimu ni wengi halafu wanaomba mara mbili yaani kila somo analofundisha, maanake maombi yanaweza fika laki 5, sasa watamudu vipi kuwafanyia interview watu laki 5?
Ninachojua watakata wengi sana na kutoa wachache kwa ajili ya usaili.
sawa mkuuUkifanikiwa naomba uniambie na Mimi maana ndo jambo linalonikwamisha mpaka sasa
Huwezi jua kila kitu mkuu wasaidie tu, hao walimu ni dada zetu, kaka zetu na wadogo zetu, wasaidie kama unao huo ufahamu na uzoefu wa kutumia system kwenye kuomba ajiraWalimu ni shida aisee hata kuomba kazi online hawajui!!!
Sawa mkuuHuwezi jua kila kitu mkuu wasaidie tu, hao walimu ni dada zetu, kaka zetu na wadogo zetu, wasaidie kama unao huo ufahamu na uzoefu wa kutumia system kwenye kuomba ajira
Kuna vitu wangeacha tu uko uko OR TAMISEMIMimi nawashangaa hawa watu walimu ni wengi halafu wanaomba mara mbili yaani kila somo analofundisha, maanake maombi yanaweza fika laki 5, sasa watamudu vipi kuwafanyia interview watu laki 5?
Ninachojua watakata wengi sana na kutoa wachache kwa ajili ya usaili.
AlishajisajiliView attachment 3050056
Wakuu hapo shida itakuwa nini, ni muombaji mpya hajawahi jisajiri kwenye ajira portal
Andika malalamiko yako,naelezea tuma kwa hiyo emailChangamoto wenye postgraduate diploma ya education mfumo unagoma
No response
Kila siku naandika
bonyeza kitufe cha vancies kwenye ajiraportal utaona orodha ya nafasi za kazi zoteMsaada
Kwenye vacancy sioni masomo yangu physics and chemistry Na nikisach inaandika Not found
Pia sioni sehemu ya kuapply mikoa
Andika watasoma inafanyiwa kazi sio kwwmba inajibiwa on the spot mkuu,ila inafanyiwa kazi relaxNo response
Wana ujinga fulani hivi wale jamaa ila nikuwavumilia tu mkuuKila siku naandika
Huyo mgeni mvumilie tu mkuu,ngoja aje ajionee yaliyomo yamo😂Kama umishawai fanya interview na utumishi uwezo uliza swali hilo!
ukibonyeza kitufe cha apply kwenye nafasi unayoitaka itakupeleka moja kwa moja sehemu ya kuattach barua fuata maelekezo ya mfumoWakuu samahani kwangu sion sehemu ya ku attach application letter kwenye attachment sehemu ya cover letter haipo
Hapana, ni muombaji mpyaAlishajisajili
the same case kwa huyu ninaye msaidia niliwatumia email jana hawajajibu ngoja niwatwangieAisee kwangu wanasema NIDA ishatumika kabla kwenye mfumo.
Sasa sikumbuki nilitumiaga email Gani wala password 🔑