Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Set namna hii..

Kama wewe ni Mwalimu wa Mathematics halafu kipindi upo Chuo kozi yako iliitwa Bachelor of Science with/in Education lakini ukaspecialize kwenye Mathematics.

Sasa hapo Ajira portal andika BACHELOR OF EDUCATION IN MATHEMATICS kwenye sehemu ya professional qualification.

Ukimaliza pale apply hutapata shida tena.

Pia kama ulisoma masomo mawili ya kufundisha andika (mfano)

Bachelor of Education in Geaography and Kiswahili

Bachelor of Education in Physics and Mathematics

Bachelor of Education in Chemistry and Biology

n.k
Ujue pale kwenye professional wamekuwekea tayar so n unafanya kuchagua tuu, sasa hizo education hazipo kwenye professional qualifications.
Mm nnawaza niandike ana degree ya English halafu niweke tena ana degree ya history.
Sijui ntakuwa sahihi.
 
Ujue pale kwenye professional wamekuwekea tayar so n unafanya kuchagua tuu, sasa hizo education hazipo kwenye professional qualifications.
Mm nnawaza niandike ana degree ya English halafu niweke tena ana degree ya history.
Sijui ntakuwa sahihi.
Hizo interview zote utazifanya Kwa pamoja ?
 
Tupo hapa tunabishana ,,,

Vyeti tunavyovi -upload kwenye mfumo ,,,

Ni hizi copy tulizo certify kutoka kwa mwanasheria na kuzi-scan ?? Au

Ni hivi vyeti vya kitaaluma ,, tulivyovi -scan ,, ?? ( Vyeti vilivyotumika katika mfumo wa or tamisemi )


Vipi hasa tunavipandisha kwenye mfumo ??..
 
Mm nnawaza niandike ana degree ya English halafu niweke tena ana degree ya history.
Sijui ntakuwa sahihi.

Hapa ndio hujaelewa comment yangu.

Nimesema kama amespecialize masomo 2 na mfumo ukayatambua inabidi aandike BACHELOR OF EDUCATION IN ENGLISH AND KISWAHILI, mara moja tu maana tayari ipo kwneye mfumo.

Sasa kwa sifa hiyo utaweza kuomba nafasi ya kila somo na mfumo hautakukataa.

Kuna mtu amesoma Geography na Kiswahili halafu mfumo umemtambua, nimemfanyia application kwa masomo hayo yote.
 
Tupo hapa tunabishana ,,,

Vyeti tunavyovi -upload kwenye mfumo ,,,

Ni hizi copy tulizo certify kutoka kwa mwanasheria na kuzi-scan ?? Au

Ni hivi vyeti vya kitaaluma ,, tulivyovi -scan ,, ?? ( Vyeti vilivyotumika katika mfumo wa or tamisemi )


Vipi hasa tunavipandisha kwenye mfumo ??..
Copy ulizo certify kwa mwanasheria
 
Hapa ndio hujaelewa comment yangu.

Nimesema kama amespecialize masomo 2 na mfumo ukayatambua inabidi aandike BACHELOR OF EDUCATION IN ENGLISH AND KISWAHILI, mara moja tu maana tayari ipo kwneye mfumo.

Sasa kwa sifa hiyo utaweza kuomba nafasi ya kila somo na mfumo hautakukataa.

Kuna mtu amesoma Geography na Kiswahili halafu mfumo umemtambua, nimemfanyia application kwa masomo hayo yote.
Geog na Kisw ipo ila history na English haipo
 
Wakuu hivi kuedit inakubali , application failed Ni nyingi na nimegundua Ni kozi niliyoweka ndio tatizo ....
 
NAULIZA.!!
Nimesoma diploma ya ualimu wa sekondari-2011. Nikiingia ajira portal ktk acadwmic qualification...chuo hakipo kwenye orodha pale. Je ni sahihi niki click "OTHER" then niandike jina la hiko chuo manually?
2. Pale chini inadai niweke GPA, nimeshindwa kuelewa niweke nn..maana nina cheti tu cha NECTA kikiwa na matokeo ya jumla...hakuna GPA, Au diploma yangu ni outdated...za sasa zina GPA?
3. CV nayo inasainiwa pale chini?
 
Back
Top Bottom