Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
interview haipoKama interview itafanyika basi huu mchakato utachukua miezi 6 mpaka kukamilika, kuanza kukagua vyeti kwenye mfumo, usaili wenyewe hapo kuripoti January mwakani.
ADEC - Advanced Diploma?Kama nimesoma BED ADEC au PPM ambapo masomo yangu ya kufundishia Geography na HISTORY nafanyaje.
Ujue pale kwenye professional wamekuwekea tayar so n unafanya kuchagua tuu, sasa hizo education hazipo kwenye professional qualifications.Set namna hii..
Kama wewe ni Mwalimu wa Mathematics halafu kipindi upo Chuo kozi yako iliitwa Bachelor of Science with/in Education lakini ukaspecialize kwenye Mathematics.
Sasa hapo Ajira portal andika BACHELOR OF EDUCATION IN MATHEMATICS kwenye sehemu ya professional qualification.
Ukimaliza pale apply hutapata shida tena.
Pia kama ulisoma masomo mawili ya kufundisha andika (mfano)
Bachelor of Education in Geaography and Kiswahili
Bachelor of Education in Physics and Mathematics
Bachelor of Education in Chemistry and Biology
n.k
Hizo interview zote utazifanya Kwa pamoja ?Ujue pale kwenye professional wamekuwekea tayar so n unafanya kuchagua tuu, sasa hizo education hazipo kwenye professional qualifications.
Mm nnawaza niandike ana degree ya English halafu niweke tena ana degree ya history.
Sijui ntakuwa sahihi.
Tayari kasema BED means B for BachelorADEC - Advanced Diploma?
PPM - ?
Mm nnawaza niandike ana degree ya English halafu niweke tena ana degree ya history.
Sijui ntakuwa sahihi.
Copy ulizo certify kwa mwanasheriaTupo hapa tunabishana ,,,
Vyeti tunavyovi -upload kwenye mfumo ,,,
Ni hizi copy tulizo certify kutoka kwa mwanasheria na kuzi-scan ?? Au
Ni hivi vyeti vya kitaaluma ,, tulivyovi -scan ,, ?? ( Vyeti vilivyotumika katika mfumo wa or tamisemi )
Vipi hasa tunavipandisha kwenye mfumo ??..
Hiyo nimeelewa ila hayo maneno(vifupi) aliyoandika ndio sijaelewaTayari kasema BED means B for Bachelor
Geog na Kisw ipo ila history na English haipoHapa ndio hujaelewa comment yangu.
Nimesema kama amespecialize masomo 2 na mfumo ukayatambua inabidi aandike BACHELOR OF EDUCATION IN ENGLISH AND KISWAHILI, mara moja tu maana tayari ipo kwneye mfumo.
Sasa kwa sifa hiyo utaweza kuomba nafasi ya kila somo na mfumo hautakukataa.
Kuna mtu amesoma Geography na Kiswahili halafu mfumo umemtambua, nimemfanyia application kwa masomo hayo yote.
Zipi hizo?Hizo interview zote utazifanya Kwa pamoja ?
InakubaliWakuu hivi kuedit inakubali , application failed Ni nyingi na nimegundua Ni kozi niliyoweka ndio tatizo ....
Hizo ambazo hazipo aandike somo analolitakaGeog na Kisw ipo ila history na English haipo
MtihaniAu sio , interview ya ualimu sijui watafanya Namna gani kuhakikisha wote wamepita kwenye mchujo 😂
Bachelor of education in adult education and community development (BED ADEC)Hiyo nimeelewa ila hayo maneno(vifupi) aliyoandika ndio sijaelewa
Yes ndo nikauliza naweza kuandika kama vile ana degree mbili yaniHizo ambazo hazipo aandike somo analolitaka