Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Screenshot_20240723-160348.png

Wakuu hapo shida itakuwa nini, ni muombaji mpya hajawahi jisajiri kwenye ajira portal
 
Jamani mimi dogo hajapewa transcript na NACTE ila ana vyeti vyote vipi mfumo utakubali kupokea maombi?
Ameomba lini?

Kwa kawaida Huwa inatoka baada ya wiki mbili asitegemee wamtumie SMS Kwamba kimetoka mara nyingi Huwa hawatumi.
 
Kurahisisha hicho cheti kirudie mara mbili
Attach sehemu ya cheti na sehemu ya transcript ili tu ikuruhusu kuomba
Maana mfumo wao bila kuweka transcript yawezekana ikakugomea kuapply
Mkuu mwl wa certificate akiweka chet kwenye academic qualifications kinagoma maana hawana transcript ya chuo wana cheti chenye matokeo kama form four
 
Ndo weakness kubwa ya ajira portal,,anaenufaika ni yule ambae amamaliza juzi lakin wale wa miaka ya nyuma ni ngumu kutoboa maana vitu vingi wamesahau ,mm naona tamisemi palikua panafaa zaidi maana wao ni wengi na ninajua PSRSS Hawawez kumudu usaili wa watu 250,000
Subiri usahili ufike uje uone jinsi wanavyoshindwa kumudu hiyo kazi
 
Utaulizwa kulingana na kazi uliyo omba! Kama ni mwalimi wa hesabu utaulizwa mahesabu na ya kwanza ni ya kuandika inafanyika kwa compute “aptitude test” wana set muda mnaanza kwa pamoja nchi nzima …muda ukiisha basi hawana haja ya kukwambia pens down! Halafu kuna practical ambayo itahusu uwezo wako wa kufundisha wanafunzi na watu halafu baadae kuna ya ana kwa ana na panel ambayo itahusu uwezo wako wa kuelewa, maswali yatapima uwezo wako! Swali la kwanzo “tell us about your self” or your academic back ground! Kwenye oral swala kubaa ni confidence na uwezo wa kuzingatia muda na kusikiliza vyema basi!
Kila la kheri!
Walimu round hii wamekamatika haswa
 
Wewe ulishajisajili na umesahau taarifa zako hivyo wapigie utumishi watakupa msaada wa kukupatia taarifa zako! Andaa email yako
hapana ni mtumiaji mpya kabisa
 
Msaada Nashindwa kuatach vyeti (kuweka vyeti) Nikigusa pale hainipeleki kwenye vyeti (ukubwa wa vyeti ni Mb 1 Na vingine Ni Kb)
 
Back
Top Bottom