Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Serikali yatangaza ajira za ualimu kwa mwaka 2024 zaidi ya nafasi 11,000

Verification ni kwa wale tu waliosoma nje ya nchi na vyeti vyao vikawa Verify na Nacte and TCU.

Hapo hapamuhusu.
Hiyo ni ato massage tuu ipo hapo haina shida hiyo inaonesha tuu icho kipengele aachane nayo
 
Asante mkuu. Lakini nilikuwa nataka Sheria yenyewe kabisa inayohusu jinsia, wazee na watu wenye ulemavu.
 
Woii Kila nikijaribu kuingia kwenye account inakaataa inasema incorrect login ukiendelea kuingia inakuambia temporary locked
 
Samahani wakuu. Hivi nawezaje kufuta cheti kimojawapo. Nataka kuondoa cheti changu cha diploma kibaki tu cha Certificate.
 
Wakuu kuna mdada alijaza qualification ya diploma sasa anataka aedit atumie ya certificate ili aombe utendaji kata ila akiedit programme inakuja moja tu aliosoma yeye haiji tufanyeje
 
Back
Top Bottom