Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
HaiwezekaniWakuu kuna mdada alijaza qualification ya diploma sasa anataka aedit atumie ya certificate ili aombe utendaji kata ila akiedit programme inakuja moja tu aliosoma yeye haiji tufanyeje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaiwezekaniWakuu kuna mdada alijaza qualification ya diploma sasa anataka aedit atumie ya certificate ili aombe utendaji kata ila akiedit programme inakuja moja tu aliosoma yeye haiji tufanyeje
Utendaji kata(WEO) hauombwi ni cheo cha kuteuliwa. Kinachotangwaza na utumishi Kwa kuziwakilisha halmashauri ni utendaji wa mitaa/vijiji(VEO).Wakuu kuna mdada alijaza qualification ya diploma sasa anataka aedit atumie ya certificate ili aombe utendaji kata ila akiedit programme inakuja moja tu aliosoma yeye haiji tufanyeje
Hapana hata utendaji kata (WEO) wanaomba hata utumishi huwa wanazitangaza hiyo ya kuweka mtu tuu ilikuwa zamani sana! Siku hizi zinatangazwa kuanzia kijiji hadi Kata! Ukitembelea ajira portal unaweza ukazikuta …Utendaji kata(WEO) hauombwi ni cheo cha kuteuliwa. Kinachotangwaza na utumishi Kwa kuziwakilisha halmashauri ni utendaji wa mitaa/vijiji(VEO).
Sio kweli mkuu, wanadanganya hao, ww andika masomo yote kwenye barua moja.Kuna ukweli hapa?View attachment 3055196
Laki 5Sisi walimu degree sayansi basic mshahara ni kiasi gan ?
Sisi tuliosoma Kwa mkopo wa bodi take home tunapokea kiasi gani ?
Inategemeaana nani yuko madarakani?Mwalimu anapanda daraja baada ya miaka mingap kiprotoko ?
Hii nafikiri labda ni private huko.Muhimu:
- Kumbuka kwamba barua ya maombi ni fursa yako ya kwanza kumvutia mwajiri. Hakikisha imeandikwa kwa usahihi, fasaha, na inaonyesha kwa nini wewe ndiye mtu sahihi.
😀😀😀 unazingua ww tangu lini mtendaji kata anateuliwa?Utendaji kata(WEO) hauombwi ni cheo cha kuteuliwa. Kinachotangwaza na utumishi Kwa kuziwakilisha halmashauri ni utendaji wa mitaa/vijiji(VEO).
Miaka 3 mpaka 4 kwa wwtumishi kada zote si mwalimu tu, but wanasiasa wazinguaji unaweza pigwa ata 10 years hujapanda daraja😁 kama mjomba maguMwalimu anapanda daraja baada ya miaka mingap kiprotoko ?
DuhLaki 5
SawaSio kweli mkuu, wanadanganya hao, ww andika masomo yote kwenye barua moja.
Nimekuelewa kifupi siasa ndio kila kituMiaka 3 mpaka 4 kwa wwtumishi kada zote si mwalimu tu, but wanasiasa wazinguaji unaweza pigwa ata 10 years hujapanda daraja[emoji16] kama mjomba magu
Nilishaitwa Mimi Mara moja bila kucertify vyetiHiyo ni ndoto kabisa😂😂😂😂😂
Umejaribu sana ndio maana imefungwa! Subiri baada ya muda halafu ujaribu tena! Halafu kama ikigoma wapigie tenaHawa ajira portal mbona siwaelewi.
Nilikuwa nimesahau password 🔑
Nikawapigia wakanitumia
Sasa Leo nataka ku login kufanya mambo yangu wananiambia habari za temporary locked