Ekuweme
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 3,520
- 3,962
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maana hiyo serikali imepandisha bei ya sukari rasmi .Serikali imetangaza bei ya ukomo ya Sukari kwa rejareja katika Mikoa yote nchini, ambapo kwa Dar es Salaam itauzwa kwa Shilingi 2,600 kwa Kg 1, Mbeya 3,000, Mwanza, Dodoma na Shinyanga 2,900, Kigoma 3,200, Arusha na Kilimanjaro ni 2,700, Kagera na Mara ni 3,000.
Aidha kwa Mikoa ya Lindi na Mtwara, Sukari itauzwa kwa Sh.2,800, Rukwa, Katavi, Ruvuma itauzwa kwa Sh 3,200. Njombe, Geita, Tabora, Singida, Iringa na Simiyu itauzwa kwa Sh.2900 na kwa Manyara, Tanga, Pwani na Morogoro itauzwa kwa Sh 2,700 na Songwe ni Sh.3,000.
Huko mnapata ya Malawi
Kweli nchi hii kuna utofauti sana juzi nimenunua kilo 30 kwa Ila kilo 1800, hizo 2500-4000 ni kama sipo tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa naneno mepesi serikali imeondoa ruzuku ili sukari iwe bei moja nchi nzima..Waziri wa kilimo mh Hasunga ametangaza bei elekezi ya sukai kwa mikoa yote hapa nchini na kwamba mfanyabiashara yoyote atakayepandisha bei hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Bei ya kilo moja ya sukari kwa mkoa wa Dsm ni sh 2600 na Kigoma sh 3200.
Source ITV habari
Hapana, serikali imeondoa bei holela za sukari ambapo Dsm ilifikia sh 4000 kwa kilo!Kwa naneno mepesi serikali imeondoa ruzuku ili sukari iwe bei moja nchi nzima..
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri sana!
Amana vipi? Bado maiti barabarani! achana na sukari, tatizo kubwa ni corona...Hapana, serikali imeondoa bei holela za sukari ambapo Dsm ilifikia sh 4000 kwa kilo!
Sisi tunaokaa mwishoni mwa Tanzania tunduma tunajua sukari ukiletewa nyumban kg 1 ni sh 2000 ukifuata dukani sh1750 kwa kg1 mnaokaa makao makuu endeleeni kununua ndo bei yake hiyo msilalamikeSerikali imetangaza bei ya ukomo ya Sukari kwa rejareja katika Mikoa yote nchini, ambapo kwa Dar es Salaam itauzwa kwa Shilingi 2,600 kwa Kg 1, Mbeya 3,000, Mwanza, Dodoma na Shinyanga 2,900, Kigoma 3,200, Arusha na Kilimanjaro ni 2,700, Kagera na Mara ni 3,000.
Aidha kwa Mikoa ya Lindi na Mtwara, Sukari itauzwa kwa Sh.2,800, Rukwa, Katavi, Ruvuma itauzwa kwa Sh 3,200. Njombe, Geita, Tabora, Singida, Iringa na Simiyu itauzwa kwa Sh.2900 na kwa Manyara, Tanga, Pwani na Morogoro itauzwa kwa Sh 2,700 na Songwe ni Sh.3,000.
Corona ni tatizo kwa waxzungu......hapa bongo watu ni " wagumu"Amana vipi? Bado maiti barabarani! achana na sukari, tatizo kubwa ni corona...