Serikali yatangaza bei ya kikomo ya Sukari; ipo kati ya Tsh. 2,600 na Tsh. 3,200 kwa kilo kutegemea na Mkoa

Serikali yatangaza bei ya kikomo ya Sukari; ipo kati ya Tsh. 2,600 na Tsh. 3,200 kwa kilo kutegemea na Mkoa

Kulikuwa hakuna sababu ya kuwa na bei tofauti kwa kila mkoa. Mbona viwanda vikizalisha bei inakuwa sawa kote. Serikali inaumiza walaji na kuwanufaisha wazalishaji.
Kuna mambo yamezingatiwa katika upangaji bei. Ikiwemo umbali na eneo sukari inapozalishwa,maana gharama za usafiri zinatofautiana toka sehemu moja kwenda sehemu nyingine.
 
Kuna shida ya kiuchumi inafukuta kwa chini ila wanataka kuitatua kwa ubabe, baadae matokeo tutayaona, kwa kawaida ndani ya nchi bei za bidhaa zilezile hazitakiwi kupishana kwa zaidi ya shilingi 200/-

Sent using Jamii Forums mobile app
Pembe la ng'ombe huwa alijifichi walizuia bureau de change binafsi wakaruhusu mabenki ili wayape bei elekezi still nayo imebuma leo dola 2300.Sio kila tingo anaweza udereva
 
Corona ni tatizo kwa waxzungu......hapa bongo watu ni " wagumu"
[/QUOTE]
[/QUOTE]
Wagumu na mmewaficha wasiambukizwe. Na kweli kile kifaa moyoni kikipata kirusi, basi kwisha habari yake
 
Bei elekezi hiyo sasa wee mangi wa mtaani kwetu niuzie sukari kwa buku nne kesho asubuhi uone kama sikuriporti TCRA.
 
HEBU JIPIGEPIGE KIFUA NA KUJIAMBIA WEWE NI MATAKO
[/QUOTE]
Mkuu,Sawa mimi ni matako na wewe ni shimo la matako,lakini kuna viongozi walituambia,kama mahindi yanauzwa kwa bei kubwa,nendeni mkalime ya kwenu.je kuhusu kupanda kwa sukari kwanini wasiseme limeni miwa yenu? Mimi nilikuwa nanukuu matamko ya viongozi wetu,sikuwa na nia mbaya hadi kufikia kunitukana.
 
Wametumia kanunni gani kupanga hiyo bei???...Kwanini Lindi mkoa ambao upon karibu na Dar bei iwe juu tofauti na Arusha ambapo ni Mbali na Dar inaposhukia Sukari (bandari)??? Naombeni ufafanuz


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii serikali imejaa mbumbumbu wengi sana na bahati mbaya hawajui kuwa hawajui lolote zaidi ya kula na kulala tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi bei elekezi zinaishia kusika kwenye redio na Tv ila mtaani bei ni zile zile hawajashusha,tu anakwambia huu mzigo nikiuza hivyo nitakula lose.
 
Sukari kutoka nje ya nchi kuja nchini hupokelewa ktk bandari ya Dar es salaam...kutoka Dar kuja LINDI na MTWARA ni kilometa chache tofauti na kutoka Dar kwenda MANYARA,ARUSHA na KILIMANJARO nashangaa bei elekeza kwa mikoa ya Lindi na Mtwara ni juu tofauti na mikoa ya kaskazni...ni kigezo gani kimetumika kupanga bei hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndiyo serikali ya wanyonge, inayowajali wanyonge na kufanya kazi kwa ajili ya wanyonge kama wewe sio mnyonge kamwe huwezi kuelewa namna gani serikali yetu sikivu inavyotujali wanyonge.
Ingia mtaani mkuu kuanzia kesho ndo utajua serikali ni ya wanyonge. Halafu ulete mrejesho.
 
Sukari kutoka nje ya nchi kuja nchini hupokelewa ktk bandari ya Dar es salaam...kutoka Dar kuja LINDI na MTWARA ni kilometa chache tofauti na kutoka Dar kwenda MANYARA,ARUSHA na KILIMANJARO nashangaa bei elekeza kwa mikoa ya Lindi na Mtwara ni juu tofauti na mikoa ya kaskazni...ni kigezo gani kimetumika kupanga bei hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri ni mgeni hajui kazi yake hajui Ramani ya nchi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HUU mwaka una majanga huku corona,mafuriko,sukari,njaa mapicha picha tuu...nasubiria tamko la chama cha mabaharia wa nchi kavu bei ya sukari
 
Back
Top Bottom