Sensei Tai
Senior Member
- May 26, 2022
- 168
- 466
Kwa hali hii daladala zinaenda kukosa kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sema walilipua ndio mana ilibomolewa. Ilivyojengwa walitenga eneo la Mwendokasi kama ilivyo ya Tegeta mpaka Morocco. Utawala wa kikwete mwishoni ilijengwa kama sijakosea mudaMbagala ile barabara ni ya miaka ya 90 na haikuandaliwa kwa ajili ya mwendokasi.
Hutaki wakuekee matuta njiani. Linakuja hilosubiri. Wenyewe weshajiwekea njia yao kupitia daraja la tanzanite.Posta Mwenge hadi Tegeta hakuna haja ya Miendokasi.
Daladala zinafanya vizuri.
Inawezekana ulikuwa mdogo sana. Barabara hii ilijengwa kwa msaada wa Japan wakati Magufuli ni waziri ikaisha akagoma kuipokea kwasababu ya kiwango kidogo. Wajapan wakairudia kama ilivyotakiwa njia nne kipande kifupi tu miaka mingi imepita njia hii ikatumika kama ilivyo. Mradi huu wa mwendokasi ni mpya wala hauhusiani na barabara ya zamani.Hapana sema walilipua ndio mana ilibomolewa. Ilivyojengwa walitenga eneo la Mwendokasi kama ilivyo ya Tegeta mpaka Morocco. Utawala wa kikwete mwishoni ilijengwa kama sijakosea muda
Watanzia tuna mtaka SrabagNimeona katika gazeti Serikali inatafuta kampuni ya ujenzi wa barabara ya mwendokasi pamoja na vituo vyake.
Kutoka maktaba ya taifa to Mwenge/Ubungo 13.5 km utakuwa na vituo visivyopungua 20
Kutoka Mwenge to Tegeta Dawasa 15.63 km itakua na vituo visivyopungua 19.
View attachment 2363211
Ujenzi wa phase 4 katika jiji la Dar es Salaam unasimamiwa Na tanroads. Ngoja tuone pindi utakapokamilika.
Ila ingewafaa wasitumie yule mkandarasi wa Mbagala to Kariakoo na Mbagala tu Magomeni. Naona design na ujenzi huko chini kidogo ya viwango tofauti na hii phase one ya mwendokasi tunayotumia.
Hiyo hiyo Kilwa rd. Labda hujanielewa. Kipindi hiko ni utawala wa Kikwete, kama mwendokasi haikutengwa kipindi inajenga mbona daraja za pale bondeni msikitini kabla ya mission, zilipanuliwa usawa wa kuancha mwendo kazi. Kama ulivyosema kiwango ovyo ndio mana imebomolewa.Inawezekana ulikuwa mdogo sana. Barabara hii ilijengwa kwa msaada wa Japan wakati Magufuli ni waziri ikaisha akagoma kuipokea kwasababu ya kiwango kidogo. Wajapan wakairudia kama ilivyotakiwa njia nne kipande kifupi tu miaka mingi imepita njia hii ikatumika kama ilivyo. Mradi huu wa mwendokasi ni mpya wala hauhusiani na barabara ya zamani.
Halafu wewe unazungumzia Mwenge-Moroko mimi nazungumzia Kilwa road.
Akikuwekea hapa ajengewe mnara katikati ya hiyo bustani.Tuwekee picha moja ya kibabe hapa tuone palm trees za Lugalo.