Serikali yatangaza tenda ya ujenzi wa mwendokasi kutoka Maktaba ya Taifa Posta- Mwenge- Ubungo-Tegeta

Serikali yatangaza tenda ya ujenzi wa mwendokasi kutoka Maktaba ya Taifa Posta- Mwenge- Ubungo-Tegeta

Mbagala ile barabara ni ya miaka ya 90 na haikuandaliwa kwa ajili ya mwendokasi.
Hapana sema walilipua ndio mana ilibomolewa. Ilivyojengwa walitenga eneo la Mwendokasi kama ilivyo ya Tegeta mpaka Morocco. Utawala wa kikwete mwishoni ilijengwa kama sijakosea muda
 
Hapana sema walilipua ndio mana ilibomolewa. Ilivyojengwa walitenga eneo la Mwendokasi kama ilivyo ya Tegeta mpaka Morocco. Utawala wa kikwete mwishoni ilijengwa kama sijakosea muda
Inawezekana ulikuwa mdogo sana. Barabara hii ilijengwa kwa msaada wa Japan wakati Magufuli ni waziri ikaisha akagoma kuipokea kwasababu ya kiwango kidogo. Wajapan wakairudia kama ilivyotakiwa njia nne kipande kifupi tu miaka mingi imepita njia hii ikatumika kama ilivyo. Mradi huu wa mwendokasi ni mpya wala hauhusiani na barabara ya zamani.
Halafu wewe unazungumzia Mwenge-Moroko mimi nazungumzia Kilwa road.
 
Nimeona katika gazeti Serikali inatafuta kampuni ya ujenzi wa barabara ya mwendokasi pamoja na vituo vyake.

Kutoka maktaba ya taifa to Mwenge/Ubungo 13.5 km utakuwa na vituo visivyopungua 20

Kutoka Mwenge to Tegeta Dawasa 15.63 km itakua na vituo visivyopungua 19.

View attachment 2363211

Ujenzi wa phase 4 katika jiji la Dar es Salaam unasimamiwa Na tanroads. Ngoja tuone pindi utakapokamilika.

Ila ingewafaa wasitumie yule mkandarasi wa Mbagala to Kariakoo na Mbagala tu Magomeni. Naona design na ujenzi huko chini kidogo ya viwango tofauti na hii phase one ya mwendokasi tunayotumia.
Watanzia tuna mtaka Srabag
 
Inawezekana ulikuwa mdogo sana. Barabara hii ilijengwa kwa msaada wa Japan wakati Magufuli ni waziri ikaisha akagoma kuipokea kwasababu ya kiwango kidogo. Wajapan wakairudia kama ilivyotakiwa njia nne kipande kifupi tu miaka mingi imepita njia hii ikatumika kama ilivyo. Mradi huu wa mwendokasi ni mpya wala hauhusiani na barabara ya zamani.
Halafu wewe unazungumzia Mwenge-Moroko mimi nazungumzia Kilwa road.
Hiyo hiyo Kilwa rd. Labda hujanielewa. Kipindi hiko ni utawala wa Kikwete, kama mwendokasi haikutengwa kipindi inajenga mbona daraja za pale bondeni msikitini kabla ya mission, zilipanuliwa usawa wa kuancha mwendo kazi. Kama ulivyosema kiwango ovyo ndio mana imebomolewa.
Sasa tusubiri ya kwenda tegeta kama hawajabomoa, ni mwendo wa jenga bomoa.
 
Back
Top Bottom