Serikali yathibitisha Kipindipundu kuingia Dar, Ilala ina Wagonjwa 10

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Serikali kupitia Wizara ya Afya imethibitisha uwepo wa Wagonjwa wa Kipindupindu muda mfupi baada ya Jamii Forums kuripoti uwepo taarifa za Ugonjwa huo katika Wilaya ya Ilala. Kwa mujibu wa Wizara ya Afya hadi sasa kuna Wagonjwa 10 waliobainika katika Wilaya ya Ilala ambapo 3 wapo Tabata, na wengine 7 wapo katika eneo la Kivule na Buguruni.




==================
 
Masoko machafu

Mitaro imeziba

Wacha watu wafe hata 10000 hapo ndo Mabwana Afya wataamua kuchukua hatua kwa kuangalia vyakula na masoko
 
Hatari kama ni kweli
 
Bora ungetype ungeandika, wengine wanatumia jamiiforum app ambayo picha hazifunguki.
 
Kweli nimekubali nchi imemshinda Huyu mama.

Kipindupindu ILALA ikulu!!!!
 
Aisee uchafu Dar tatizo.
 
Ilala ni Jiji au Dar es salaam Ndio Jiji?
Kuna Dalili Huyu mama hafuatilii Vito serious au wateule wake wao ni kuchota tu
 
Mwalimu wetu Olevel alituambia kuwa ukiumwa kipindupindu maana yake umekula kinyesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…