Serikali yathibitisha Kipindipundu kuingia Dar, Ilala ina Wagonjwa 10

Mwalimu wetu Olevel alituambia kuwa ukiumwa kipindupindu maana yake umekula kinyesi
Sasa vyoo si huwa vinafurika wakati wa mvua, kisha ule uchafu unasambazwa na maji, na maji hayohayo yenye kinyesi watu wanayatumia kwa namna moja au nyingine (kama kuoshea matunda hayo mnayokula njiani)...hapo unakula kinyesi tu moja kwa moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…