Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Tanzania kupanga kununua umeme nchini Ethiopia

Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Tanzania kupanga kununua umeme nchini Ethiopia

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Naam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

IMG-20250309-WA0066.jpg
IMG-20250309-WA0068.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20250216-182754_1.jpg
    Screenshot_20250216-182754_1.jpg
    363.2 KB · Views: 2
  • 20250211_033831.jpg
    20250211_033831.jpg
    151.5 KB · Views: 1
  • images (93).jpeg
    images (93).jpeg
    38.2 KB · Views: 1

Attachments

  • images - 2025-02-28T165906.781.jpeg
    images - 2025-02-28T165906.781.jpeg
    12.5 KB · Views: 2
Ndugu zangu Watanzania,

Serikali yetu tukufu chini ya uongozi mahili,imara ,madhubuti ,shupavu na wenye kuleta matumaini kwa watu wa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kupitia msemaji mkuu wa serikali Mheshimiwa Gerson Msigwa Imetoa ufafanuzi wa kina wa sababu ya kununua umeme Nje ya Nchi kwa ajili ya kanda ya kaskazini.

Soma hapa👎
Screenshot_20250309-202056_1.jpg
Screenshot_20250309-202102_1.jpg
 

Attachments

  • IMG-20250122-WA0047.jpg
    IMG-20250122-WA0047.jpg
    32.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom