Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Tanzania kupanga kununua umeme nchini Ethiopia

Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Tanzania kupanga kununua umeme nchini Ethiopia

Naam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same View attachment 3264882View attachment 3264881
Kwa maelezo hayo, maana yake.
-Umbali wa kutoka Rufiji mpaka Kilimanjaro (ambao wastani wa km 560) ni mrefu zaidi kuliko umbali wa kutoka Ethiopia mpaka Kilimanjaro (ambapo ni wastani wa km 1400). Huko serikalini kuna watu ni wajinga na wapumbavu kupita maelezo.

-Bwawa la Nyumba ya Mungu ambalo linazalisha umeme wa kutosha na kuingizwa kwenye gridi ya taifa liko mkoani Kilimanjaro na Manyara (umbali wa kusafirisha umeme kuleta mkoa wa Kilimanjaro ni km 0) limeshindwa kusambaza umeme mkoa wa Kilimanjaro, Manyara na Arusha mpaka hivyo inabidi tukanunue umeme kutoka Ethiopia kwa kuwa ni karibu zaidi!!


CCM na serikali yake ni LAANA.
 
Naam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
View attachment 3264882View attachment 3264881

Jamani,ununue Umeme Ethiopia kupitia Kenya,kwani wa Ethiopia mpaka kuuleta Kenya kisha kanda ya Kaskazini haupotei,Kama upotevu ni sababu?

Ethiopia Kaufikishaje Kenya na haupotei?
 
Kwani umeme unasafirishwa kwenye magari.......!

Grid ya taifa nilijua ukishaingizwa miundombinu iliyounganisha ipo tayari shida ya nini ukanunue nje wakati kila siku tunaambiwa tuna umeme mwingi ambao hautumiki. CCM ni laaana katika taifa hakika.
Sasa unataka tukanunue wapi vieite?? Au ujui mwa tirampu kapandisha mashetani
 
Magufuli alianzisha Grid ya Taifa kutoka Singida, kupitia Babati, Arusha, na Namanga kuelekea Nairobi, ili tuweze kuuza umeme nje kupitia njia hiyo.

Umeme tutakaonunua kwa ajili ya mikoa ya kaskazini utatoka wapi kutoka Ethiopia kuingia Tanzania upande wa mikoa ya kaskazini?
 
Stiglers na Ethiopia wapi mbali zaidi?
Mabwawa ya Nyumba ya Mungu, Hale na Pangani yanapeleka wapi umeme
Naam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
View attachment 3264882View attachment 3264881
Duuuh Ufafanuzi bado unahitaji ufafanuzi!
Pale Kisongo Arusha kuna kituo kinajengwa kwa ajili ya kuuza umeme wa ziada nchini Kenya!
Lakini kama hiyo haitoshi, ccm ilisema JNHP ukikamilika Tanzania itakuwa imejitosheleza na umeme! Ooh labda umeme wetu ni ghali sana!
Pengine hili la kununua umeme nafuu kutoka Ethiopia litakuja na punguzo la bei?

Lakini swali la msingi liko pale pale... kwanini umeme utoke Ethiopia? Kwanini Kenya wasinunue alafu TZ tukaupokea kwao?
Kwanini utandaze minara kutoka Ethiopia hadi Same Tanzania? Gharama za jumla zikoje?
 
Magufuli alianzisha Grid ya Taifa kutoka Singida, kupitia Babati, Arusha, na Namanga kuelekea Nairobi, ili tuweze kuuza umeme nje kupitia njia hiyo.

Umeme tutakaonunua kwa ajili ya mikoa ya kaskazini utatoka wapi kutoka Ethiopia kuingia Tanzania upande wa mikoa ya kaskazini?
Usiulize sana utavunja umoja na mshikamano wetu uliodumu miaka mingi in wasiras voice
 
Nashukuru nipo ( kaskazini) upande wa huku waliopo wakubwa wa nchi, umeme haujawahi kuwa tatizo kabisa, Ata wakileta huo wanao uamini wao nahisi itakuwa Bora zaidi maana hata Ile kusinzia sinzia kidogo itaisha. Asante
 
20250211_191743.jpg
 
Back
Top Bottom