Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Tanzania kupanga kununua umeme nchini Ethiopia

Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Tanzania kupanga kununua umeme nchini Ethiopia

Kwani umeme unasafirishwa kwenye magari.......!

Grid ya taifa nilijua ukishaingizwa miundombinu iliyounganisha ipo tayari shida ya nini ukanunue nje wakati kila siku tunaambiwa tuna umeme mwingi ambao hautumiki. CCM ni laaana katika taifa hakika.
 

Attachments

  • IMG-20250307-WA0016.jpg
    IMG-20250307-WA0016.jpg
    118.1 KB · Views: 1
Naam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
View attachment 3264882View attachment 3264881
Umefika wakati sasa wanasiasa wanawaona wananchi kama ma-zuzu matupu! Kweli mnathubutu kuwaambia watu ujinga mkubwa hivi? Yaani hata serikali yenyewe haijui kwanini wananunua umeme kutoka nje!!!
 
Kwani umeme unasafirishwa kwenye magari.......!

Grid ya taifa nilijua ukishaingizwa miundombinu iliyounganisha ipo tayari shida ya nini ukanunue nje wakati kila siku tunaambiwa tuna umeme mwingi ambao hautumiki. CCM ni laaana katika taifa hakika.
Hivi huko JW hakuna wanaojua haya mambo kweli wakafanya kama Ibrahimu wa Magharibi
 
Na hii hapa ni kauli ya mtu huyohuyo 👇
 
Naam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same

Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
View attachment 3264882View attachment 3264881
Total rubbish, hii miradi ya kisenge, kipindi hiki kuelekea uchaguzi, ni mbinu za wizi tu, eti umeme unapotea kwa, kiasi cha bilioni 32! Ila gharama ya, kununua, haisemwi, ni, porojo tu eti ni nafuu, ass holes ccm
 
Back
Top Bottom