Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏👍Kuna Nyumba Ya Mungu, kuna Hale na Kuna Pangani, yote yako kanda ya kaskazini..... Ufafanuzi umekua mzuri sana. Kongole kwa Mfafanuzi
Duh!...hii kali aisee.....umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same
Naam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same
Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
View attachment 3264882View attachment 3264881
Umefika wakati sasa wanasiasa wanawaona wananchi kama ma-zuzu matupu! Kweli mnathubutu kuwaambia watu ujinga mkubwa hivi? Yaani hata serikali yenyewe haijui kwanini wananunua umeme kutoka nje!!!Naam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same
Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
View attachment 3264882View attachment 3264881
Hivi huko JW hakuna wanaojua haya mambo kweli wakafanya kama Ibrahimu wa MagharibiKwani umeme unasafirishwa kwenye magari.......!
Grid ya taifa nilijua ukishaingizwa miundombinu iliyounganisha ipo tayari shida ya nini ukanunue nje wakati kila siku tunaambiwa tuna umeme mwingi ambao hautumiki. CCM ni laaana katika taifa hakika.
Same pale kuna upepo wa kutosha kuweza kuzalisha umeme. 😇
Tushaonwa WaTz wote hamnazo ndio maana ni Rahis kutupiga fix za wazi waziNaam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same
Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
View attachment 3264882View attachment 3264881
Yaani ni ufafanuzi usiondoa mshangao wa wananchi.Naam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same
Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
View attachment 3264882View attachment 3264881i
Total rubbish, hii miradi ya kisenge, kipindi hiki kuelekea uchaguzi, ni mbinu za wizi tu, eti umeme unapotea kwa, kiasi cha bilioni 32! Ila gharama ya, kununua, haisemwi, ni, porojo tu eti ni nafuu, ass holes ccmNaam kama kawa kama dawa, Wazee WA UFAFANUZI wameshatoa UFAFANUZI kuwa umbali wa kutoka Ethiopia Hadi Same ni mfupi kuliko Mwalimu Nyerere Hydro Power pale Rufiji Hadi Same
Soma Pia: Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini
View attachment 3264882View attachment 3264881
Mbali ni Stiglers. Ethiopia ni karibu kabisa. Kwani hamjui kuwa kutoka Dodoma mpaka Arusha ni mbali kuliko Addis Ababa mpaka Arusha?Stiglers na Ethiopia wapi mbali zaidi?
Mabwawa ya Nyumba ya Mungu, Hale na Pangani yanapeleka wapi umeme