Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Tanzania kupanga kununua umeme nchini Ethiopia

Attachments

  • Screenshot_20250216-182754_1.jpg
    363.2 KB · Views: 2
  • 20250211_033831.jpg
    151.5 KB · Views: 1
  • images (93).jpeg
    38.2 KB · Views: 1

Attachments

  • images - 2025-02-28T165906.781.jpeg
    12.5 KB · Views: 2
Ndugu zangu Watanzania,

Serikali yetu tukufu chini ya uongozi mahili,imara ,madhubuti ,shupavu na wenye kuleta matumaini kwa watu wa Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kupitia msemaji mkuu wa serikali Mheshimiwa Gerson Msigwa Imetoa ufafanuzi wa kina wa sababu ya kununua umeme Nje ya Nchi kwa ajili ya kanda ya kaskazini.

Soma hapa👎
 

Attachments

  • IMG-20250122-WA0047.jpg
    32.8 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…