Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kazi ya strategist wa Sauti ya Watanzania. Tusipo badili mbinu hao jambazi wa bandari watatushindaWaandaaji wa kongamano la wananchi la kupinga mkataba wa bandari limepata msukosuko mkubwa baada ya serikali kutumia maguvu mengi ya polisi kuthibiti kongamano hilo.
Vikwazo vya kongamano hilo vilianza baada ya mwenye ukumbi wa awali kabisa kurudisha pesa alizokuwa ameshalipwa, ndipo Waandaaji walipopata ukumbi wa masista. Na masista nao katika hali isiyotegemewa wakabadili mtizamo ktk dakika ya mwisho.
Wakati wote huo Jeshi la Polisi likiwa katika formation za Maguvu mengi sana limeendelea kurandaranda kuzunguuka ukumbi ili kuzuia wananchi wasijadili suala la bandari. Video ya tukio hilo unaweza kuiona hapa chini.
View attachment 2771326
Mapambio ya anaiponya nchi hayasikiki tena 😆😆oooh magufuli dicteta Samia anaongoza vizurii nyenyenyenyeee.haya Kiko wapiiiii kikowapiiii?
mtu akibwabwaja mpe mudaMapambio ya anaiponya nchi hayasikiki tena 😆😆
Wewe ?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naomba kazi ya strategist wa Sauti ya Watanzania. Tusipo badili mbinu hao jambazi wa bandari watatushinda
Waandaaji wa kongamano la wananchi la kupinga mkataba wa bandari limepata msukosuko mkubwa baada ya serikali kutumia maguvu mengi ya polisi kuthibiti kongamano hilo.
Vikwazo vya kongamano hilo vilianza baada ya mwenye ukumbi wa awali kabisa kurudisha pesa alizokuwa ameshalipwa, ndipo Waandaaji walipopata ukumbi wa masista. Na masista nao katika hali isiyotegemewa wakabadili mtizamo ktk dakika ya mwisho.
Wakati wote huo Jeshi la Polisi likiwa katika formation za Maguvu mengi sana limeendelea kurandaranda kuzunguuka ukumbi ili kuzuia wananchi wasijadili suala la bandari. Video ya tukio hilo unaweza kuiona hapa chini.
View attachment 2771326
Uvunjaji amani na uchochezi nyuma ya pazia la udini haufai. Acheni kupeleka nchi kusiko kwenye madhara.
oooh magufuli dicteta Samia anaongoza vizurii nyenyenyenyeee.haya Kiko wapiiiii kikowapiiii?
magufuli miaka mia asingeuza bandari umeme usingekatika reli ingekamilika
lakini watu nyeee nyeee nyeee maamae
Waandaaji wa kongamano la wananchi la kupinga mkataba wa bandari limepata msukosuko mkubwa baada ya serikali kutumia maguvu mengi ya polisi kuthibiti kongamano hilo.
Vikwazo vya kongamano hilo vilianza baada ya mwenye ukumbi wa awali kabisa kurudisha pesa alizokuwa ameshalipwa, ndipo Waandaaji walipopata ukumbi wa masista. Na masista nao katika hali isiyotegemewa wakabadili mtizamo ktk dakika ya mwisho.
Wakati wote huo Jeshi la Polisi likiwa katika formation za Maguvu mengi sana limeendelea kurandaranda kuzunguuka ukumbi ili kuzuia wananchi wasijadili suala la bandari. Video ya tukio hilo unaweza kuiona hapa chini.
View attachment 2771326
Waruhusu waje waandamane nyumbani kwako sisi hatutaki vurugu maana hatuna nchi nyingine ya kukimbiliaSasa wanatofauti gani na Hayati Dikteta Magufuli?
Au tofauti ni mtandio tu.
Tofautisha maandamano ya amani na Riots.Waruhusu waje waandamane nyumbani kwako sisi hatutaki vurugu maana hatuna nchi nyingine ya kukimbilia
UASI...Kenge hafi mpaka atoke damu masikioni, CCM inabidi watimuliwe ikulu kwa risasi, siku vifaru vya jeshi vikiizingira ikulu, na kumpiga pingu samia, na kikwete, itakuwa mwanzo mzuri Sana kwa nchi
Hehehe
Ni zaidi ya chama kwa sababu ni wezi wa mali ya umma, wajinga,akili ndogo, wanaogopa maoni huru,UASI...
MUASI....
Jidanganye....
CCM ni zaidi ya chama cha siasa...
Kalaghabaho
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Usimlinganishe mzalendo wa kweli vitu vya ajabu utapata laana bureSasa wanatofauti gani na Hayati Dikteta Magufuli?
Au tofauti ni mtandio tu.
Muuaji tokea lini akawa MzalendoUsimlinganishe mzalendo wa kweli vitu vya ajabu utapata laana bure
asilimia 61 ya Watanzania ni CcmSiku asilimia 80 ya Watanzania wakiyazoea hayo ma RPG na Mabunduki viongozi wa CCM watatafuta pa kukimbilia.
Sio kweli, kura zikipigwa kihalali CCM haitopata hata asilimia 30.asilimia 61 ya Watanzania ni Ccm