Serikali yaunda Kamati kuchunguza chanzo cha moto Soko Kuu Kariakoo. Waziri Mkuu asema hatua zitachukuliwa moja kwa moja ikijulikana kuna mkono wa mtu

Kwa nini badala ya kamati vyombo tofauti visichunguze? Kwa nini lazima iwe ni KAMATI?
Hapa inatakiwa TISS waonyeshe weledi wao. Na kama ni hujuma wahusika watolewe mfano maana hili halikubaliki.
 
Zimamoto: Tulilazimika kufuata maji Air port kwa sababu Kariakoo hakuna matoleo ya maji
 
 
Kuna tume iliyochunguza ubadhirifu wa BOT kati ya January-March, hakuna kilichotokea.
 
Pia waangalie transaction za pesa iwe bank au mpesa za viongozi hao waliofukuzwa kazi,kama ni hujuma,lazima kuna waliopewa pesa kufanya hiyo kazi,
safi sana jambo la msingi ni kusaidia kutoa taarifa kama kuna dalili ya kuhusika kwa mtu yeyote ktk hujuma hii lazima washughulikiwe kikamikifu.
viongozi wetu ktk vitengo mbalimbali nawashauri waongeze ukali, vinginevyo kuna watu wataisumbua sana serikali yetu.
hatuwezi kupelekana kwa kuleana leana tu, lazima viongozi wetu wawe imara, watu hawafanani Lazima tujifunze namana ya kudili na kila aina ya watu.

asilimia kubwa ya sisi watanzania tunapenda kushurutishwa, hatuna tabia wala mazoea ya kutii bila shuruti, bila mjeledi kamwe hatusongi mbele.
mjeledi ukitumika wahusika wote watafahamika.
bana mbavu kidogo.
serikali siyo ya kuchezewa na wahuni wachache....haiwezekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inamaana vyoo , bar, migahawa na maduka na fremu zote kariakoo hamna hata iliyokua na koki ya maji?

Wameshindwa hata kuchukua maji misikiti yote ya hapo kariakoo?
Huwa sehemu kama ile kunakuwa na horse pipes zenye high pressure. Sasa mpaka hasara itokee ndiyo wataalmu wanakumbuka notes zao.

Maana yake Health and Safety ni 0 sokoni.
 
Kabla hizo kamati waziri mwenye dhamana atuachie vx yetu kwanza, pili mkuu wa jeshi la zima moto awe mahabusu kwa uzembe na team nzima, pumbavu mnanunua ma vx mapya mnapeana wakati ma Lori ya zima moto machakavu.
 

 
wastage of time, kama tatizo lipo kwao wanawajibishwaje? Eti kinga kwa viongozi? nchi ya kiboya sana hii
 
Huwa sehemu kama ile kunakuwa na horse pipes zenye high pressure. Sasa mpaka hasara itokee ndiyo wataalmu wanakumbuka notes zao.

Maana yake Health and Safety ni 0 sokoni.
Okay,nmekuelewa.
Tunatatizo kubwa Kama taifa[emoji3525]
 
Sijui hivi na kamati ile ya naniii yakuchunguza ulaji pesa wizara ya fedha aliyotuambia PM, ilishatoa mrejesho?? Ngoja sie tuendelee kula mtoto, nyama tutazikuta chini...... Kazi iendelee.
Ni mtori mkuu siyo mtoto [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwa taarifa ambazo sio RASMI zinasema kwamba moto wa KARIAKOO ni hujuma katika jitihada za kumuangusha Rais wetu pendwa, Suluhu Hassan.

Inasemekana kwamba ni mchongo uliosukwa na viongozi wa ndani ya soko kwa kushirikiana na viongozi wakubwa katika idara mbalimbali za nchi.

Nadhani mama anatakiwa sasa kupunguza maneno maneno ya kiunguja na aanze kuwa serious, watanzania hawahitaji huruma sana na wanajua kulamba ushuzi wa Rais hasa linapokuja suala la madaraka , lakini moyoni wakawa na nia ovu. Nadhani yeye anaona wale wote waliokuwa wanalamba ushuzi wa JPM , kwa sasa wanavyo ACT dhidi ya JPM.

Toa maoni yako juu ya moto wa kariakoo?

Kama ni hujuma, je ni tahadhari gani serikali ianze kuzifanyia kazi haraka iwezekanavyo ili kunusuru kitovu chetu cha biashara Tanzania dhidi ya visasi na uadui unaokuja kwa kasi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…