Serikali yaunda Kamati kuchunguza chanzo cha moto Soko Kuu Kariakoo. Waziri Mkuu asema hatua zitachukuliwa moja kwa moja ikijulikana kuna mkono wa mtu

Serikali yaunda Kamati kuchunguza chanzo cha moto Soko Kuu Kariakoo. Waziri Mkuu asema hatua zitachukuliwa moja kwa moja ikijulikana kuna mkono wa mtu

Habari wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla akiwa soko kuu la Kariakoo, amesema serikali imeunda tume ya watu kumi kuchunguza na kupata ukweli wa chanzo cha moto na athari zilizopatikana ikiwemo mali zilizoteketea, pia amesema Waziri mkuu yuko njiani kuja kukagua na kuongea na wafanyabiashara na umma kwa ujumla...
Kwenye team sijaona Idara ya Fire
 
Hilo ni suala linalohusu jeshi la zimamoto.Wakiona kuna hujuma ndio watawaita polisi .
Tanesco, Osha na Bima, mkandarasi wa nini? Au jeshi la zimamoto halina utalaamu wa kubaini vyanzo vya moto?
Kama ishu ni criminal, zimamoto hawana utaalamu wa kubaini, iwapo kuna hujuma, milipuko, chemicals etc.

Hawana capacity ya kufanya forensic investigation
 
Habari wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla akiwa soko kuu la Kariakoo, amesema serikali imeunda tume ya watu kumi kuchunguza na kupata ukweli wa chanzo cha moto na athari zilizopatikana ikiwemo mali zilizoteketea...
Mchora ramani wa KARIAKOO aliweka parking kuzungika soko, MWENDAZAKE akasema WANYONGE/MAFUKARA wapange biashara, kuzunguka soko.

MKARARASI alijenga bomba za fire kunyonya maji , WANYONGE WAMEJENGA MABANDA NA KUZIBA SEHEMU ZA KUCHUKUA MAJI.

Hela za tume zielekezwe mikoa ya kusini kuwakata mikono sweta, Tatizo mmelitengeneza wenyewe kuweka machinga nchi nzima barabarani, bodaboda kupaki sehemu za watu kupita na kusababisha ajali nyingi alafu eti mnaunda tume, what a shame.
 
Kumbe kazi yao ni kuzima moto tu.
Kama ishu ni criminal ,zimamoto hawana utaalamu wa kubaini,iwapo kuna hujuma,milipuko,chemicals etc.
Hawana capacity ya kufanya forensic investigation
 
Kama ishu ni criminal ,zimamoto hawana utaalamu wa kubaini,iwapo kuna hujuma,milipuko,chemicals etc.
Hawana capacity ya kufanya forensic investigation
hao machinga karibu wote wana taa za kuchaji na huwa wanaziacha, na simu mbovu, hebu acheni kusumbua watu eti tume, what a fk.
 
Miaka yote hii hakuna mikakati ya kukabiliana na majanga? Kama kujaza maji kwenye magari kumeshindikana ndiyo wataweza kutengeneza mkakati?
Enzi hizo nikiwa mdogo, network ya maji mijini, ilikuwa na hydrants. Ilikuwa ni kwa ajili ya kusaidia kujaza maji kwenye magari ya fire. Viungio vyake vilikuwa special couplers ambazo zilikonectiwa kwa wepesi kwenye mabomba ya magari.

Nashangaa kwa nini mfumo huo uliondolewa. Katika hili kamati au idara ya maafa ofisi ya Waziri Mkuu lazima ilaumiwe.

Tumeshuhudia majanga mengi, hasa maeneo ya mjini. Ni aibu mpaka sasa magari kujazia maji mtoni.
 
Enzi hizo nikiwa mdogo, network ya maji mijini, ilikuwa na hydrants. Ilikuwa ni kwa ajili ya kusaidia kujaza maji kwenye magari ya fire. Viungio vyake vilikuwa special couplers ambazo zilikonectiwa kwa wepesi kwenye mabomba ya magari.

Nashangaa kwa nini mfumo huo uliondolewa. Katika hili kamati au idara ya maafa ofisi ya Waziri Mkuu lazima ilaumiwe.

Tumeshuhudia majanga mengi, hasa maeneo ya mjini. Ni aibu mpaka sasa magari kujazia maji mtoni.
Mfumo haujaondolewa, upo sana tu, MWENDAZAKE aliwaambia machinga wajenge juu ya hiyo mifumo, service road na mbele ya maduka ya watu, tunaanza kuvuna tulichopanda.
 
Enzi hizo nikiwa mdogo, network ya maji mijini, ilikuwa na hydrants. Ilikuwa ni kwa ajili ya kusaidia kujaza maji kwenye magari ya fire. Viungio vyake vilikuwa special couplers ambazo zilikonectiwa kwa wepesi kwenye mabomba ya magari.

Nashangaa kwa nini mfumo huo uliondolewa. Katika hili kamati au idara ya maafa ofisi ya Waziri Mkuu lazima ilaumiwe.
Usishangae kusikia viling'olewa vikauzwa vyuma chakavu
 
Yaani, yaleyale matokeo ya matatizo ya kutopenda utawala wa kufuata misingi ya sheria za ujenzi na mipango miji....
Mchora ramani wa KARIAKOO aliweka parking kuzungika soko, MWENDAZAKE akasema WANYONGE/MAFUKARA wapange biashara, kuzunguka soko.

MKARARASI alijenga bomba za fire kunyonya maji , WANYONGE WAMEJENGA MABANDA NA KUZIBA SEHEMU ZA KUCHUKUA MAJI.
Hela za tume zielekezwe mikoa ya kusini kuwakata mikono sweta, Tatizo mmelitengeneza wenyewe kuweka machinha nchi nzima barabarani, bodaboda kupaki sehemu za watu kupita na kusababisha ajali nyingi alafu eti mnaunda tume., what a shame.
 
Hii ni terrorism. Watu wamefukuzwa kazi,wamechoma moto soko. Things will never be the same again.

RC anasema amelala Kariakoo. Of course amelala Kariakoo. There is panic.

Au tuseme " there is consternation" Maybe "panic" is too strong a word.

Unakumbuka Samia Suluhu aliposema atawafukuza viongozi wa Kariakoo,wale watu hawakushangilia. Walitaka wasubiri tu kuona ana mipango gani. Wangeshangilia vipi? Hata rais mwenyewe alisema bado atalitafakari hilo jambo.

Halafu Makalla akachaguliwa kuwa RC, a controversial person,just the kind of person who might antagonize people. Halafu Abubakhar Sadiki alikuwa RC mpya. Kama alikuwa mpia,kwa nini aliondolewa?

Kwa hiyo the honeymoon is over,kama wanavyosema media wakati mwingine. Kama rais alikuwa anafikiria watu wote wanampenda kufa na kupona,hafikirii hivyo sasa. Kama wapo wananchi wanafikiria rais anapendwa sana,hawafikirii hivyo sasa.

Hii ndio the first battle,the first crisis. Na watu wenye mashaka na Katiba yetu,watu wanaotaka Katiba Mpya,they would do well to see how this problem is solved.
 
Habari wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla akiwa soko kuu la Kariakoo, amesema serikali imeunda tume ya watu kumi kuchunguza na kupata ukweli wa chanzo cha moto na athari zilizopatikana ikiwemo mali zilizoteketea, pia amesema Waziri mkuu yuko njiani kuja kukagua na kuongea na wafanyabiashara na umma kwa ujumla....
1.Hapa wangechunguza simu za Viongozi waliosimamishwa (kuangalia mawasiliano yao na chat za aina zote).

2.Jana kuna Dogo aliojiwa na TV alisema aliona moto ulipoanzia na alipomwambia mlinzi sa soko-mlinzi alisema kuna watu wanafanya yao!!- huyu mlinzi na dogo wasaidie hii kamati.

3.Kariakoo ubadilifu ni mwingo toka enzi za Lyatonga Mrema akiwa waziri na aliwai ata toa tamko...uenda kuna ukweli kuwa moto wa jana ni man made ili kuficha ubadilifu hasa wa fedha maana kwa sasa soko lilikuwa na zaidi ya wapangaji 200 pesa za kodi kupigwa ni lazima.

4.Viongozi waliosimamishwa awawezi kukubali kwenda lupango kiraisi so lazima wanatumia kila wanaloliweza kuepuka jela.

5.Mawasiliano ya hawa viongozi waliosimamishwa yanaweza rahisisha kazi ya tume iwapo technology itatumika ipasavyo nayo itatoa ukweli kama wameusika au hapana na uzuri Serikali yetu ina huo uwezo 100% kwa sasa. So kuondoa mashaka,uonevu na kupata huakika wa jambo hili Technology itumike🙏
 
Anatafuta Kiki tu huyo Makala,zinakuja gari za zimamoto mbovumbovu bila maji huo moto wangezima kwa kutumia mikojo yao? Serikali imeona ni busara kununua magari ya kisasa kabisa ya kumwagia watu upupu ili kuwaumiza Chadema, lakini inapuuza kununua magari ya kisasa ya kuzima moto na kuokoa maisha ya watu.

Ingepigwa simu kuwa Chadema wamekusanyika sehemu wanapeana elimu juu ya Katiba Mpya yangekuja magari ya washawasha hata hamsini yakiwa yamejaa kemikali za kuwasha ili kuwadhuru Chadema.
 
Pia waangalie transaction za pesa iwe bank au mpesa za viongozi hao waliofukuzwa kazi,kama ni hujuma,lazima kuna waliopewa pesa kufanya hiyo kazi,
 
Huyo waziri Mkuu aache utapeli wa kujifanya anaunda tume zisizo na tija. Aseme taarifa ya ile tume ya moto wa lori la mafuta iliishia wapi. Kama kweli hizo tume zina tija kwenye hayo majanga, mbona alificha taarifa ya lile janga la moto ya lori la mafuta Morogoro, hata baada ya kusema hiyo ripoti itawekwa wazi? Wafanyabishara huyo waziri Mkuu hana jipya hapo, bali anaweletea usanii tu lakini hana msaada wowote.
Anachoweza ni kupiga kiwi nyeusi kichwani mwake tu
 
Moto kipindi kifupi tu baada mama kutumbua management ya soko. Hapa kuna mkono wa mtu.
 
Dah hizi social media bana,kila mtu amegeuka kuwa mkosoaji cku hz.Sasa ajali imetokea serikali imeunda kamati ya wataalam watu mnakosoa,cjui mnataka life liendelee as if hakijatokea kitu
Tupe ripoti ya wataalamu wa tume iliyoundwa na waziri mkuu kwenye janga la moto wa lorry huko Morogoro. Huyo waziri Mkuu ni tapeli aliyerasimishwa.
 
Kamati ni mjumuiko wa vyombo mbalimbali,vinavyopaswa kufuatilia kujua nini kimetokea,,
Unaweza kuita vyovyote unavyotaka,kamati,chama,jumuia,kikundi,etc

Kamati = kundi la walaji toka serikalini lisilo na tija.
 
hahaha serikali hii aibu kubwa sana, kwa hiyo waziri mkuu asingeunda hiyo kamati, Polisi kitengo cha fire wasingefanya uchunguzi. au kasimu ma black anatafuta kiki za kisiasa?
 
Back
Top Bottom