Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Haya mipango ishakamilika... anayetaka kusaidia niandikie PM na nitakupa "password" na jibu lake. Na ukituma wasiliana nami ili niweze kucoordinate michango hiyo. Pesa zitatumwa kwa Bashiri Ramadhani (ndio kiongozi wa wanafunzi na ndiye ambaye amezungumza na Ubalozi wa UK) Kwa vile utaweka jina lako unapotuma na ili kulinda "kutojulikana kwa wanachama" basi ukishaatuma wasiliana nami kwa Email Yangu ambayo ni mwanakijiji@jamboforums.com na kunipa info:
- Kiasi ulichotuma
- Confirmation number
- na Jina
Mimi nitajumlisha taarifa za wote mliotuma na kuwapa jumla. Halafu kesho at the earliest au Jumapili nitazungumza na vijana na kuwapa jumla.
Bashiri hatakuwa na password na jibu lake. Ni nyinyi mliotuma tu ndo mtajua na nitakapowasiliana nao.. Bashiri atapewa idadi ya fedha zilizotumwa na majina. Mwanafunzi mwingine atapewa password na mwingine atapewa jibu ili wakienda kuchukua wote watatu wawepo. Kabla ya kuwapa taarifa hizo nitazungumza na wanafunzi wote kwa spika phone na kuwaambia kiasi kilichotumwa na wanichagulie mtu atakayepewa password na jibu.
- Kiasi ulichotuma
- Confirmation number
- na Jina
Mimi nitajumlisha taarifa za wote mliotuma na kuwapa jumla. Halafu kesho at the earliest au Jumapili nitazungumza na vijana na kuwapa jumla.
Bashiri hatakuwa na password na jibu lake. Ni nyinyi mliotuma tu ndo mtajua na nitakapowasiliana nao.. Bashiri atapewa idadi ya fedha zilizotumwa na majina. Mwanafunzi mwingine atapewa password na mwingine atapewa jibu ili wakienda kuchukua wote watatu wawepo. Kabla ya kuwapa taarifa hizo nitazungumza na wanafunzi wote kwa spika phone na kuwaambia kiasi kilichotumwa na wanichagulie mtu atakayepewa password na jibu.