Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Kama nusu saa ijayo hivi nitawaletea maendeleo ya habari hii.... kutoka Kiev...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio falsafa ya ANGUKA Ari Nguvu na Kasi. kuna barua inasambazwa inasemekana ietoka kwa mwl. ni vyema mkafanya jitihada mkaipata walau ninaweza kuwafanya nyuso zenu zitabasamu kwani kila kukucha huwa tunajadili matatizo yanayosababishw na hawa watawala wetu wasiotujali sisi wana wa nchi hii na badala yake wanawajali wageni na kuwakumbatia siku hadi siku.
Kama ni mimi ndiyo Balozi nisingeweza kuona Wananchi wezangu wanapata tabu kwa kisingizio cha Hakuna Fedha ningeweza kutafuta njia yoyote Kuhakisha wanapata Mahitaji muhimu kama chakula na malazi (wangekula kile ninachokula mimi na wangelala pale ninapolala mimi)na kutafuta uwezekano wa kuwarudisha nyumbani kwa njia yeyote ile wakapambane na Bodi ya mikopo huko.Ningewachukulia kama raia wenzangu waliopata shida nchi ya watu na mimi kama Balozi hilo ni moja ya jukumu langu kuhakikisha raia mwenzagu hawapati shida kwenye Nchi za watu.
hizi habari ni za masikitiko sana,hivi huyu tutayashughulikia yeye hana watoto kweli. Je nini msimamo wa hawa wanafunzi ?,ni kurudi nyumbani au nini,kama serikali itaendelea shikilia msimamo huo wa kutowatambua ni nini hatima yake.
Naomba mzee mkjj uwaulize au naomba simu yao