Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Lunyungu niko very serious..!! Mkandara.. nashukuru kwa moyo huo nimepata watu wengine wachache ambao wako tayari kuwasaidia vijana hawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vijana wameamka nje ya ofisi za Ubalozi... kadhaa wana mafua kutokana na baridi... serikali kimya!! vyombo vya habari kimya! vyombo vya kijamii kimya!
Tunahitaji kupata idadi kamili ya hao wanafunzi
kisha sisi watu wa UK tunaweza kujiorganise tuwatumie michnago yetu
Kama waliopo huko Europe wakifanya michango hewala
Watu wa States najua mko bize kujiandaa na hiyo pati ya Columbus lakini hii ni immediate issue
Yakubu hebu angalia tunaweza kufanya nini...hebu liase na Mwana kijiji
Haiwezekani waTZ wenzetu wawe na hali walionayo na sisihuku matumbo yamejaa, kama serikali haiwezi kufanya kitu basi hata sisi tushindwe?
Mlio na Contacts za NGO za Kimataifa whatever ..fanyeni mipango jamaa tuwasaidie
Mimi nitaangalia mambo ya legality na mengineyo madogo madogo
time is running out na mnajua kuna dada zetu kule vile vile
MODS: hebu ifanyeni sticky lakini walau mpaka Jumamosi tuwe na tushapata solution
Maana naona serikali nhaina interest ya kuwasaidia na kama wanayo interest basi wawakilishi wa serikali yaani MABALOZI na WIZARA YA MAMBO YA NCHI ZA NJE pamoja na WIZARA YA ELIMU ya juu hazina mipango ya kuwasaidia hawa wanafunz ambao wamefikia HATUA YA KUOMBA UKIMBIZI UBALOZI WA UINGEREZA HUKO URUSI
hii ni aibu kwetu wote na huu si muda wa kutafuta lawama bali ni tuwasitiri wenzetu hawa kwani aibu yao ndio aibu yetu
na naombaParty politics tuziweke pembeni ...
kama ccm wakikaa kimya wajamaa tufanye mpango wa kuwachangia hawa wabongo wasiadhirike huko ugenini wana JF...najua uwezo watu wanao maana hawa ccm noma sana...inatia uchungu bana...dah
Dua la kuku halimpati mwewe!Do we still have a Government in Dar Es Salaam?