Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Haramu [emoji23]Kwanini MUNGU anakataza vitu vitamu!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haramu [emoji23]Kwanini MUNGU anakataza vitu vitamu!!?
Ha ha ha haTunashukuru Serikali ya Awamu ya Sita kutuhakikishia Kuwa Kitimoto Mashalaha
Mnyazi Mungu ampe maisha marefu huyo mtendaji kwa kuitumia vizuri ilimu yake.
Na pia mara nyingi vina madhara kwa mtumiaji.Vitamu vyote vina laana [emoji23]
😂Wanafikiri tunawasikiliza 😂
Mbele ya mungu gani mana kila jamii ina mungu wake..ukiwa unasema mungu uwe unataja munu wa watu gani.hahahahaha(lakinikama isipotunzwa vizuri nikweliina wadudu wenye madhara)kitimoto niharamu nainatia mashaka mtuanaekula kitimoto mbelezamungu nimchafu
Mnyazi atujaalie mema ya nchiWatukufu waislam wamezipokea hizo habari za heri kutoka katika serikali inayoongozwa na ustadhati.
Daa,mmesambaza balaaHiyo hofu mbona sikuwa nayo, tunashukuru kwa kututhitishia kuwa kitimoto ni kizuriView attachment 2393954
We mkaka,vpWalaji wengi usiku wanachanganyiwa na makorodani ya nguruwe na hawajui sababu kwanza wanakula gizani......,.nicheme nichicheme
Wee jamaa unatutoa mate tuu,ungejua Ela zmekata na kesho weekend 😋😋Mtendaji mkuu wakala wa maabara ya veterinali Tanzania TVLA Dk. Stella Bitanyi amewatoa hofu walaji wa kitoweo cha nguruwe (kitimoto) ambacho kwa siku za hivi karibuni kuliibuka hofu kwa walaji kuhisi kuwa nyama ya mnyama huyo ina wadudu wenye madhara kwa binadamu.
Dk.Stella Bitanyi Amesema kuwa , mnyama huyo ni kama wanyama wengine hivyo akitunzwa na kuandaliwa vizuri hana madhara lakini kama hatatunzwa vuzuri ni kweli anawadudu wenye madhara.
View attachment 2393812
Dah hii tamu ,zaidi ya mbususu😋😋✌️✌️
Yani tuache kumsikiliza mtaalam aliebobea, tuje kukusikiliza wewe unaejiita "Fuse box"?
Kula mdudu huyo, mtaalam kashasema mdudu ni "Mashallah".