witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2]Allah Akbar...kama ni hivyo bas alhamdullilah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2]Allah Akbar...kama ni hivyo bas alhamdullilah
[emoji38][emoji38][emoji38]Mtendaji mkuu wakala wa maabara ya veterinali Tanzania TVLA Dk. Stella Bitanyi amewatoa hofu walaji wa kitoweo cha nguruwe (kitimoto) ambacho kwa siku za hivi karibuni kuliibuka hofu kwa walaji kuhisi kuwa nyama ya mnyama huyo ina wadudu wenye madhara kwa binadamu.
Dk.Stella Bitanyi Amesema kuwa , mnyama huyo ni kama wanyama wengine hivyo akitunzwa na kuandaliwa vizuri hana madhara lakini kama hatatunzwa vuzuri ni kweli anawadudu wenye madhara.
View attachment 2393812
Na mshahara umeingia unakula Leo siku 19 zinakupita Tena bilabilaNimekula kwa macho ila Leo ni lazima nipate.
Na anaenyonya uchi wa mwanamke lakini hali kitimoto?hahahahaha(lakinikama isipotunzwa vizuri nikweliina wadudu wenye madhara)kitimoto niharamu nainatia mashaka mtuanaekula kitimoto mbelezamungu nimchafu
Daah mamaee ngoja nikakumje 4 mapemaa
Tupe locationHiyo hofu mbona sikuwa nayo, tunashukuru kwa kututhitishia kuwa kitimoto ni kizuriView attachment 2393954
Haha JF RahaAllah Akbar...kama ni hivyo bas alhamdullilah
Kama hauli ni imani yako tu lakini usiwe msemaji wa Mungu[emoji23][emoji23] you should realize that God can curse his own likenessDaah astaghaafalaaah [emoji39]
Wote Mmelaaniwa na mnyaaazi [emoji18]
Mkuu kilinge kinakuruhusu kutumia?
Mtendaji mkuu wakala wa maabara ya veterinali Tanzania TVLA Dk. Stella Bitanyi amewatoa hofu walaji wa kitoweo cha nguruwe (kitimoto).
...lakini kama hatatunzwa vizuri ni kweli anawadudu wenye madhara.
Mtendaji mkuu wakala wa maabara ya veterinali Tanzania TVLA Dk. Stella Bitanyi amewatoa hofu walaji wa kitoweo cha nguruwe (kitimoto) ambacho kwa siku za hivi karibuni kuliibuka hofu kwa walaji kuhisi kuwa nyama ya mnyama huyo ina wadudu wenye madhara kwa binadamu.
Dk. Stella Bitanyi Amesema kuwa , mnyama huyo ni kama wanyama wengine hivyo akitunzwa na kuandaliwa vizuri hana madhara lakini kama hatatunzwa vuzuri ni kweli anawadudu wenye madhara.
View attachment 2393812
Mniachie pua na masikio kwa uchunguzi zaidi.