balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Ngoja nidrop kwa Tarimo bwaloni nikapate na Mimi japo.Duh, umefanya mbaka nimebadilosha mawazo mkuu nilitaka kavu lakini ngoja nimpigie mtaalamu wangu pale sabasaba atengeneze kama hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nidrop kwa Tarimo bwaloni nikapate na Mimi japo.Duh, umefanya mbaka nimebadilosha mawazo mkuu nilitaka kavu lakini ngoja nimpigie mtaalamu wangu pale sabasaba atengeneze kama hii.
Hiyo iko jikoni kwenye mafuta.Hawa wanaonyemvua nyemvua ndio wadudu hatarishi wenyewe?
Mungu hajakataza wewe.Haramu [emoji23]
Mpwayungu village kakulalamikia Jana kuhusu hizo savannahHiyo hofu mbona sikuwa nayo, tunashukuru kwa kututhitishia kuwa kitimoto ni kizuriView attachment 2393954
Angalau leo mnyama katetewa..!!Mtendaji mkuu wakala wa maabara ya veterinali Tanzania TVLA Dk. Stella Bitanyi amewatoa hofu walaji wa kitoweo cha nguruwe (kitimoto) ambacho kwa siku za hivi karibuni kuliibuka hofu kwa walaji kuhisi kuwa nyama ya mnyama huyo ina wadudu wenye madhara kwa binadamu.
Dk. Stella Bitanyi Amesema kuwa , mnyama huyo ni kama wanyama wengine hivyo akitunzwa na kuandaliwa vizuri hana madhara lakini kama hatatunzwa vuzuri ni kweli anawadudu wenye madhara.
View attachment 2393812
Unakataa kula mdudu halafu unakula 0713.Una akili kweli!Daa,mmesambaza balaa
Hata kuruani sijui kurani imesema wakishikwa na njaa wapige mamboYani tuache kumsikiliza mtaalam aliebobea, tuje kukusikiliza wewe unaejiita "Fuse box"?
Kula mdudu huyo, mtaalam kashasema mdudu ni "Mashallah".
Ondoa picha ya Bibi yangu haraka.AmriTupe locationView attachment 2395026
Bro Mpwayungu hataki hasara😂Mpwayungu village kakulalamikia Jana kuhusu hizo savannah