Serikali yawatoa hofu walaji wa kitoweo cha nguruwe (kitimoto)

Napenda kitimoto nyama kama nyama na ngozi ,ila ile mifuta yake chini ya ngozi naitoa siipendi.
 
hahahahaha(lakinikama isipotunzwa vizuri nikweliina wadudu wenye madhara)kitimoto niharamu nainatia mashaka mtuanaekula kitimoto mbelezamungu nimchafu
Mbele ya mungu gani mana kila jamii ina mungu wake..ukiwa unasema mungu uwe unataja munu wa watu gani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Walaji wengi usiku wanachanganyiwa na makorodani ya nguruwe na hawajui sababu kwanza wanakula gizani......,.nicheme nichicheme
 
Wee jamaa unatutoa mate tuu,ungejua Ela zmekata na kesho weekend 😋😋
 
Aliwe kwa raha zote
Yani tuache kumsikiliza mtaalam aliebobea, tuje kukusikiliza wewe unaejiita "Fuse box"?

Kula mdudu huyo, mtaalam kashasema mdudu ni "Mashallah".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…