Ni jambo la heri na busara kubwa kumaliza matatizo yetu kwa haki na amani. Ni ujinga kutatua matatizo yetu kwa shinikizo la wengine,ni upumbavu kutegemea maamuzi ya wengine kutatua matatizo yetu au kutarajia maendeleo.
Tumalize wenyewe na tujiandae kusonga mbele wenyewe.Tunaojidanganya kuwategemea,tujiulize wao walisaidiwa au kushinikizwa na nani?
Tumalize wenyewe na tujiandae kusonga mbele wenyewe.Tunaojidanganya kuwategemea,tujiulize wao walisaidiwa au kushinikizwa na nani?