Serikali yazungumzia tishio la Serikali ya Marekani kusitisha misaada

Serikali yazungumzia tishio la Serikali ya Marekani kusitisha misaada

Jee wakisema hawanunui dhahabu gesi na madini mengne na wakisema hawaji kwenye huo mlima mtafanyaje, yaani hayo co maneno ya kuongea bora uombe mgogoro umalizwe kwa amani tu
 
Wasitutishe. Hizo 1bn tutazipata hapa hapa rais anapotumbua majipu. Tukibanana wenyewe hatuhitaji pesa za wazungu hata kwenye miradi ya maendeleo. Ukwepaji kodi kwenye bandari, vat, kodi ya mapato, migodi, Maliasili na utalii, ubadhirifu serikalini na kwenye mashirika ya Umma vinatisha! Vithibitiwe. Mambo yetu ya ndani tutayamaLiza wenyewe.
 
Wasitutishe. Hizo 1bn tutazipata hapa hapa rais anapotumbua majipu. Tukibanana wenyewe hatuhitaji pesa za wazungu hata kwenye miradi ya maendeleo. Ukwepaji kodi kwenye bandari, vat, kodi ya mapato, migodi, Maliasili na utalii,ubadhirifu serikalini na kwenye mashirika ya Umma vinatisha! Vithibitiwe. Mambo yetu ya ndani tutayamaLiza wenyewe.

Kwa hiyo wewe una akili na unajua sana kuliko huyu Kiongozi msemaji wa ofisi ya IKULU ambaye amenukuliwa akisema haya kuhusu MCC????

Acha kuwa VUVUZELA endapo kama huelewi maana ya MCC na misaada yake kaa utulie na usome hoja za wenye kuelewa umuhimu wake na maana yake.
 
Ifike mahala nchi za kiaafrika zijitegemee kwenye mambo yake, na ndy matatizo ya kutegemea wahisani kutuendeshea maisha yetu. inafika wakati watatuamrisha kuhusu mashoga. Hapo ndipo utapoona nchi za afrika kuwa na masoko ya pamoja ili kukabiliana na vitisho vya hawa nguruwe, na si masoko tu viko vingi. Gaddaf walimuwekea vikwazo mbona aliweza kuunyanyua uchumi wa nchi yake, walimua gadaf si kwasababu ya kuwasaidia wa Libya ila kwa manufaa yao wenyewe.WAAFRIKA TUAMKE, TUBADILIKE, TUJIONGEZE NA TUPENDE VYA KWETU NA TUNUNUE VYA KWETU

Ifike mahali nchi za kiafrika zitangaze mshindi halali. kwani wamarekani ndio waliosema msiimtangaze mshindi halali? Hayo masoko ya pamoja tutayaweza wapi wakati tunataka kuendeleza hila? Hii sheria ya mtandaoni ilitungwa rasmi kuhakikisha watu hawatoi taarifa za hayo makontena 347 yaliyopotea. Wewe baki unalazimishia kujitenga kimataifa ili mtawale kimabavu.
 
Hamna shida yatamalizwa tu kwanza tuwashughulikie hawa mijizi
 
Jipu si lazima kuiba pesa na rasioimali za nchi, ni pamoja na kupora madaraka. We hukuchaguliwa na wananchi lakini unang'ang'ania kubaki ktika nadaraka , we ni jupu la kutumbua tu!!!! Yupo aliyejipa kazi ya kutumbua majipu, atalishughulikia.
 
Marekani ina mambo yake; wamemvunja mrusi na umoja wake, hapa hata wakiamua kumleta/kumwingiza mtu wamtakaye au atakayewapa maslahi wanafanya hivyo...
Angalia nchi zilizo na vita, akiingia mmarekani pale lazima atamleta mtu wake..Angalieni sana kauli za Marekani

Kweli mkuu bora tukubali tu kiungwana hawa jamaa no hatari sana Mara wanaingiza nchi katika orodha za nchi zinazohifadhi magaidi hawachelewi hawa
 
Wasitutishe. Hizo 1bn tutazipata hapa hapa rais anapotumbua majipu. Tukibanana wenyewe hatuhitaji pesa za wazungu hata kwenye miradi ya maendeleo. Ukwepaji kodi kwenye bandari, vat, kodi ya mapato, migodi, Maliasili na utalii, ubadhirifu serikalini na kwenye mashirika ya Umma vinatisha! Vithibitiwe. Mambo yetu ya ndani tutayamaLiza wenyewe.

Hakuna haja ya vyama vingi kuwa anaeshida asipewe nchi
 
yatatuliwe si kwa mizengwe kwa amani Kila upande uridhike tusijiingize kwenye ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu Na pia suala la Zanzibar busara zitumike kuweka mambo sawa .
 
naipenda amani ya zanzibar ila tunakoelekea sidhani kama tutahitaji sana misaada ya watu weupe
 
attachment.php


Serikali imezungumzia tishio la Serikali ya Marekani la kusitisha misaada kwa Serikali ya Tanzania kutokana na mgogoro wa kisiasa Zanzibar na kukamatwa kwa maofisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu.

Ofisi ya Ikulu yasema masharti yaliyotolewa na Serikali ya Marekani yanatekelezeka na yatamalizwa kabla ya kikao cha Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Milenia (MCC) kukaa Desemba, mwaka huu.

Wiki iliyopita, Serikali ya Marekani iliitaka Serikali ya Tanzania kumaliza haraka mgogoro wa kisiasa wa Zanzibar, vinginevyo upo uwezekano wa kusitishwa msaada wa zaidi ya Dola za Marekani milioni 472 (Sh. bilioni 999.4), za awamu ya pili ya fedha za MCC la nchi hiyo.

Chanzo: EATV

Kwa majibu hayo nampongeza sana rais wetu Magufuli kujibu kistaarabu. Nilikua nahofia sana jinsi atakavyo handle foreign issues na policy, nikifikiri atakuwa ana kiburi na hatatumia diplomacy lakini kwa kweli kaonyesha mwanzo mzuri. God bless him.
 
Naomba kuuliza,huo msaada ni kama mkopo ambao tutahitaji kuulipa baadae??? maana bil 900 ni pesa ambayo TRA wanaweza kusanya ndan ya mwez mmoja. Mie nadhan marekan wanamtest magufuli kuona kama anaobey. Kila nchi dunian sasahv inajua Tanzania has a new strictly sherrif (JPM) ambae analeta mapinduz ya kinyonyaji toka kwa viongozi na baadhi ya wawekezaji....so naamin lazma wapime waone msimamo wake kwao. Hata hvyo, kusolve issue ya znz ni muhimu sana ASAP

Uelewe kwamba kiasi kikubwa cha makusanyo ya mapato yetu hutumika kuendesha serekali yaani matumizi. Miaka yote fedha za maendeleo zimetoka kwa wafadhili. Lakini kwenye mambo ya sera za nje kinachotazamwa si misaada tu. Tunahitaji kuwa na mahusiano mazuri kwa kua mbali na hayo kuna mambo mengine ya kiuchumi na masoko na kijamii ambapo Tanzania tunayahitaji na hatuwezi kamwe kuishi kama kisiwa.
 
Nchi imejaa kila takataka ya mali bado matamko yanatutisha!shity.
 
Back
Top Bottom