Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu 👍Unafikiri Rais wako Magufuli hajui kwamba tuna dhahabu, gesi na mlima Kilimanajaro ? Wewe unafikiri kwa nini kanywea pamoja na kulijua hilo ?Watu wanawawekea vikwazo Russia iliyo na nguvu za kijeshi, inauza silaha za kufa mtu, ina mafuta na gesi kibao, itakuwa sisi ambao hata bajeti yetu wenyewe hatujitoshelezi !?
Tujitahidi tuondokane na "Kwa hisani ya watu wa Marekani"
Ifike mahala nchi za kiaafrika zijitegemee kwenye mambo yake, na ndy matatizo ya kutegemea wahisani kutuendeshea maisha yetu. inafika wakati watatuamrisha kuhusu mashoga. Hapo ndipo utapoona nchi za afrika kuwa na masoko ya pamoja ili kukabiliana na vitisho vya hawa nguruwe, na si masoko tu viko vingi. Gaddaf walimuwekea vikwazo mbona aliweza kuunyanyua uchumi wa nchi yake, walimua gadaf si kwasababu ya kuwasaidia wa Libya ila kwa manufaa yao wenyewe.WAAFRIKA TUAMKE, TUBADILIKE, TUJIONGEZE NA TUPENDE VYA KWETU NA TUNUNUE VYA KWETU
Kuna watu humu jamvini sijui kwa kutokujua dunia ya sasa inaendaje au kwa ubishi tu wa kijinga au sijui niseme nini, hivi kuna nchi ya ulimwengu wa tatu ambayo haitegemei misaada? Hivi Mugabe na kiburi chake leo Zimbabwe iko wapi? Kama taifa kama China lenye uchumi mkubwa sana lakini inapotokea kuna tofauti za masuala ya kiuchumi au kiusalama na USA wanakaa meza moja na wanajadili? Hawa wachangia mada ujasiri wa kusema tuachane nao na misaada yao kisa Rais wa awamu ya tano kaanza vizuri? Kwa lipi? Muhimbili, bandari etc. Serikali yenyewe inajua zaidi ya mnavyofikiri ndio maana wameamua kukaa kikao ujadili na kufanya maamuzi ya busara tusikurupuke.Kwa majibu hayo nampongeza sana rais wetu Magufuli kujibu kistaarabu. Nilikua nahofia sana jinsi atakavyo handle foreign issues na policy, nikifikiri atakuwa ana kiburi na hatatumia diplomacy lakini kwa kweli kaonyesha mwanzo mzuri. God bless him.
Hakuna kitu cha kumaliza Zanzibar atangazwe mshindi basi.
mshindi anatakiwa aliyeshindwa aende mahakamani
Naomba kuuliza,huo msaada ni kama mkopo ambao tutahitaji kuulipa baadae??? maana bil 900 ni pesa ambayo TRA wanaweza kusanya ndan ya mwez mmoja. Mie nadhan marekan wanamtest magufuli kuona kama anaobey. Kila nchi dunian sasahv inajua Tanzania has a new strictly sherrif (JPM) ambae analeta mapinduz ya kinyonyaji toka kwa viongozi na baadhi ya wawekezaji....so naamin lazma wapime waone msimamo wake kwao. Hata hvyo, kusolve issue ya znz ni muhimu sana ASAP
Hivi unajua maana ya neno Marekani au wale wakiamua kukubania utajuta mnaweza ambiwa mwisho kusafiri kenya, hamkawii kuambiwa dhahabu zenu hazina ubora mtaziangalia? Wana mikwara balaa.
Nchi imejaa kila takataka ya mali bado matamko yanatutisha!shity.
Kuntu👉💥💥Nawasitishe tu hakuna jinsi, dhahabu tunazo, gesi ya kufa MTU, mlima kilimanjaro, mbuga za wanyama Bandar sasa mungu atupe nini sie watanganyika??? Naomba mungu wasitishe tuone km tutakufa