Nawasitishe tu hakuna jinsi, dhahabu tunazo, gesi ya kufa MTU, mlima kilimanjaro, mbuga za wanyama Bandar sasa mungu atupe nini sie watanganyika??? Naomba mungu wasitishe tuone km tutakufa
Nawasitishe tu hakuna jinsi, dhahabu tunazo, gesi ya kufa MTU, mlima kilimanjaro, mbuga za wanyama Bandar sasa mungu atupe nini sie watanganyika??? Naomba mungu wasitishe tuone km tutakufa
Wakati unaomba misaada hiyo dhahabu mbuga havikuwepo? mtabana mtaachia tuNawasitishe tu hakuna jinsi, dhahabu tunazo, gesi ya kufa MTU, mlima kilimanjaro, mbuga za wanyama Bandar sasa mungu atupe nini sie watanganyika??? Naomba mungu wasitishe tuone km tutakufa
hakuna kitu cha kumaliza zanzibar atangazwe mshindi basi.
Nawasitishe tu hakuna jinsi, dhahabu tunazo, gesi ya kufa MTU, mlima kilimanjaro, mbuga za wanyama Bandar sasa mungu atupe nini sie watanganyika??? Naomba mungu wasitishe tuone km tutakufa
Ifike mahala nchi za kiaafrika zijitegemee kwenye mambo yake, na ndy matatizo ya kutegemea wahisani kutuendeshea maisha yetu. inafika wakati watatuamrisha kuhusu mashoga. Hapo ndipo utapoona nchi za afrika kuwa na masoko ya pamoja ili kukabiliana na vitisho vya hawa nguruwe, na si masoko tu viko vingi. Gaddaf walimuwekea vikwazo mbona aliweza kuunyanyua uchumi wa nchi yake, walimua gadaf si kwasababu ya kuwasaidia wa Libya ila kwa manufaa yao wenyewe.WAAFRIKA TUAMKE, TUBADILIKE, TUJIONGEZE NA TUPENDE VYA KWETU NA TUNUNUE VYA KWETU
Nawasitishe tu hakuna jinsi, dhahabu tunazo, gesi ya kufa MTU, mlima kilimanjaro, mbuga za wanyama Bandar sasa mungu atupe nini sie watanganyika??? Naomba mungu wasitishe tuone km tutakufa
Tujitahidi tuondokane na "Kwa hisani ya watu wa Marekani"
matazizo ya Zanzibar yamalizwe mapema na kwa amani, kila upande uridhike, pasiwe na kutumia nguvu wala hila, Tanzania ni moja nasi tuwe wamoja,
Marekani ina mambo yake; wamemvunja mrusi na umoja wake, hapa hata wakiamua kumleta/kumwingiza mtu wamtakaye au atakayewapa maslahi wanafanya hivyo...
Angalia nchi zilizo na vita, akiingia mmarekani pale lazima atamleta mtu wake..Angalieni sana kauli za Marekani
we nawe ,,kwani havikuwepo hivyo vitu toka mwanzo,,bado tunahitaji hizo fedha,,unafikiri rea na miradi ya maendeleo vijijini inafanywa na serikali,,hebu google upate uelewa,,tena zitafanya kazi nyingi maana za nyuma zilikua zinaliwa sana