Serikali yetu inapojitapa haifanyi biashara.. huku ikiuza Bandari zetu kwenye kampuni inayomilikiwa na serikali, hii ni sawa na kusemaje?

Serikali yetu inapojitapa haifanyi biashara.. huku ikiuza Bandari zetu kwenye kampuni inayomilikiwa na serikali, hii ni sawa na kusemaje?

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
DP, ni kampuni inayomilikiwa na serikali ya Dubai!

Wakati sisi serikali yetu ikituaminisha kwamba, ni ujinga kwa serikali kujihusisha na biashara na wakati huohuo inaipa kampuni ya DP bandari zetu, ambapo ni kampuni ya kiserikali huko Dubai,

Hapa imeshajulikana nani ni nani

Msemo huu ndio Mimi huwa inanipa mashaka sana hasa linapokuja suala la kubinafisisha mali zetu, huwa hakuna ten pasent kweli kwenye kauli hizi??
 
SUPIKA WA JUMBA LETU AKISIMAMA ANAFANANA NA HUYU

IMG_6837.jpg

IMG_6836.jpg
 
Back
Top Bottom