Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walalahoi kantiriNCHI HII NI MASIKINI MNO.
MIAKA 60 WATANZANIA HAWANA MAJI YA UHAKIKA.
SIO
SIO NYERERE.
SIO MKAPA.
SIO MWINYI.
SIO JAKAYA.
SIO POMBE.
SIO SULUHU.
AMA KWELI NCHI MASIKINI JAMANI
Umasikini wa AKILI Ya KUONGOZANCHI HII NI MASIKINI MNO.
MIAKA 60 WATANZANIA HAWANA MAJI YA UHAKIKA.
SIO
SIO NYERERE.
SIO MKAPA.
SIO MWINYI.
SIO JAKAYA.
SIO POMBE.
SIO SULUHU.
AMA KWELI NCHI MASIKINI JAMANI
Kweli kweli. Ndio unataka kusema serikali ya ccm ni corrupt?
Wao viongozi ndivyo wanavyopenda hata mkilialia ndio wanafurahiwatu walioendela wanajali sana wenzao lakini serikali masikini za kusifiana na uchawa uchawa hazijawahi kuwa na mambo ya maana hata siku moja , mtu anaona ufahari kutembelea mgari wa milioni 500 hadi 600 wakati kisima cha maji cha Tsh 12m tu hakuna katika mavijiji ambayo yeye ni mbunge, tuna shida kubwa sana tena ya ubinafsi ambao umefikia kwenye ushetani sasa
Matajiri ni viongozi tu na wale wanaowawezesha kuzipata hizo nafasi hata kama hatujawachagua.NCHI HII NI MASIKINI MNO.
MIAKA 60 WATANZANIA HAWANA MAJI YA UHAKIKA.
SIO
SIO NYERERE.
SIO MKAPA.
SIO MWINYI.
SIO JAKAYA.
SIO POMBE.
SIO SULUHU.
AMA KWELI NCHI MASIKINI JAMANI