shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Mzalendo wewe😁😁😁Upambane kwenye wizi !!! Unapoiba ili watoto wako wale jua unaibia watoto wa wengine wanalala njaa, ni ubinafsi wa hali ya juu mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzalendo wewe😁😁😁Upambane kwenye wizi !!! Unapoiba ili watoto wako wale jua unaibia watoto wa wengine wanalala njaa, ni ubinafsi wa hali ya juu mno.
Sio hata uzalendo mwizi ni mwizi tu ,sema kibongo bongo anae onekana mwizi ni wa kuku wa sh 10000 tu.Mzalendo wewe
Haya sasa hapo hujaenda bar utabaki na nini?kodi, chakula, usafiri laki 6 laki moja unatunza 😂😂😥
😁😁😁 kwa hiyo mkuu mkiiba nyie mnafikiri kila mtu ni mwizi?Wapo malaika uchwara wanafiki na waongo waongo watakuja kukupinga.
Umeongea ukweli 💯%
Yana mwenyewe na wenyewe ndio nyie wezi😁Mambo haya hayana mwenyewe mkuu
Na wewe ni mwizi?kodi, chakula, usafiri laki 6 laki moja unatunza 😂😂😥
Kwenye hili (WATAKATIFU WOTE) haliwahusu ndugu, ila ukweli unabaki hivo tu😁😁😁 kwa hiyo mkuu mkiiba nyie mnafikiri kila mtu ni mwizi?
😂😃😃😃😀😃 We jamaa maswali yako yakitoto sasa unategemea akuambie kuwa ni mwizi .hatakama ni mwizi atasema?Na wewe ni mwizi?
Wala hakuna cha utakatifu wizi ni mbaya mkuu kila mtu analijua hilo , akija mtu akasema yeye ni mwizi wa kuku na kuvunja nyumba za watu ,akaleta uzi humu , utamkosoa kwa lipi ? Wakati yeye na mtoa mada wote ni wezi tu🤔🤔Kwenye hili (WATAKATIFU WOTE) haliwahusu ndugu, ila ukweli unabaki hivo tu
Kwa nini uwe na watoto wengi wakati mshahara wako ni laki saba??Piga hesabu mwenyewe mshahara laki Saba
Una watoto na wanabidi kusoma kula na kuvaa
Wewe mwenyewe
Je usipojiongeza inakuaje.?
Wezi inabidi uwaulize maswali ya kitoto😁😁😁😁😁😂😃😃😃😀😃 We jamaa maswali yako yakitoto sasa unategemea akuambie kuwa ni mwizi .hatakama ni mwizi atasema?
Unaiba muda wa kufundisha kufanya mambo mengine kama kuuza kashata ili kuongeza kipatoHebu tuambie Mimi mwalimu wa darasa form 3C naiba nini!? Punguza kugeneralise,think from simple to complex
Kwamba kuna mtu ni mwizi anahamasisha wizi?🤔🤔🤔Kama kiongozi mkuu wa nchi, anawaambia wa chini yake. Mle kwa urefu wa kamba zenu, mle ila msivimbiwe. Wewe ni nani usile urefu wa kamba yako? Kuleni ndiyo cake ya taifa mnagawana hivyo.
Wizi upo kwa asilimia 99.99999, haijalishiWala hakuna cha utakatifu wizi ni mbaya mkuu kila mtu analijua hilo , akija mtu akasema yeye ni mwizi wa kuku na kuvunja nyumba za watu ,akaleta uzi humu , utamkosoa kwa lipi ? Wakati yeye na mtoa mada wote ni wezi tu🤔🤔
Wala hakuna cha utakatifu wizi ni mbaya mkuu kila mtu analijua hilo , akija mtu akasema yeye ni mwizi wa kuku na kuvunja nyumba za watu ,akaleta uzi humu , utamkosoa kwa lipi ? Wakati yeye na mtoa mada wote ni wezi tu🤔🤔
Ni muhimu sana pia kutokuzaa zaidi ya watoto wawili kama mshahara wako take home haufiki milioni 2.Tatizo kubwa ni kuwa nchi inazidi kudidimia hivyo hata hicho kidogo baadaye kitakuwa hakipo...Kama watu wangekubali kusaidia wenye uwezo na upeo kushika nafasi takiwa, wala kusingekuwa na shida ya kuiba maana ni rahisi mno kurekebisha uchumi wa Tanzania na kuongoza vipato kwa haraka...Tatizo wengi walioko huko uwezo wao ni mdogo kwakua hawajawa well trained na wengi wao hawana exposure
Wezi wako humu wameuchuna tu.Wezi inabidi uwaulize maswali ya kitoto😁😁😁😁😁