Dunderhead wewe ,nawaonea huruma walimu Wako,
Hebu tuambie Mimi mwalimu wa darasa form 3C naiba nini!? Punguza kugeneralise,think from simple to complex
Wanaiba bhanaAcha wizi mkuu ,sio kila mtu anaiba bwashee.
Yani mtu anafungua uzi wa wizi na watu wanamsapoti ,ingekua nchi nyingne mngesaidia police 😁😁😁Wanaiba bhana
I can't waste my time with a dunderhead,mind Your issues,by the way I wasn't challenging you,and the one intended responded to it clearlyKama mnaiba, why did you say this?
Make up your mind, dummy.
😁😁Kwa nini inahitaji hivyo ?Sio kwenye ajira tuu, hata kimtaani kwenye uhangaikaji bila kujiongeza hutoboi, hii nchi inahitaji mtu uwe mjanja mjanja na tapeli tapeli hivi ndio uta survive
Hata hivyo anachorwa tu.....sema Nini...watu washachokaYani mtu anafungua uzi wa wizi na watu wanamsapoti ,ingekua nchi nyingne mngesaidia police 😁😁😁
😁😁Kwa nini inahitaji hivyo ?
Kutoka kwa njia Halali NI ngumu, mishahara midogo Sana na hata ukijiajiri vikwazo NI vingi Sana lazma ujiongeze😁😁Kwa nini inahitaji hivyo ?
I can't waste my time with a dunderhead,mind Your issues,by the way I wasn't challenging you,and the one intended responded to it clearly
Mercy is to your family ,teachers and a community around you to have a dull headed person like youGood choice, dummy. Work on your comprehension skills next time.
Unakuta mtu kaiba kajilimbikizia mali ila mwisho wa siku anakula mchicha kwa masharti ya dr , vinono vyote anakula beki tatu na shamba boy , bado hajiulizi tu why?Kuna watu wana magari Ila kazini wanaenda kwa miguu
Ukiona hivyo jua kuna namna majizi yameshika mpini.Kutoka kwa njia Halali NI ngumu, mishahara midogo Sana na hata ukijiajiri vikwazo NI vingi Sana lazma ujiongeze
Unakuta mtu kaiba kajilimbikizia mali ila mwisho wa siku anakula mchicha kwa masharti ya dr , vinono vyote anakula beki tatu na shamba boy , bado hajiulizi tu why?
Ma dr mnaiba sana dawa😁😁Ila kweli lakini Mimi sio sana kabisa
Na ili utoboe lazima nawewe uwe mwiziUkiona hivyo jua kuna namna majizi yameshika mpini.
Mimi sita kuwa mwizi bora nisitoboe huko mnapotaka kutoboa.Na ili utoboe lazima nawewe uwe mwizi
Utachelewa SanaMimi sita kuwa mwizi bora nisitoboe huko mnapotaka kutoboa.