miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 905
- Thread starter
-
- #341
OkMcha mungu nipo....
rafik wa kawaida je hutaki miss charming ....!!!Basi we hufai mkuu, anyway poa
Mkuu mbona povu sasaVigezo wewe ulijiumba? What if leo hii ukavunjika miguu ukawa kilema je tukunyanyapae? Acheni kumkosoa Mungu nyie wanadamu.
Tutafutane kama bado jujapataHabari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
N:B Asiyekunywa pombe
Malizia ili ueleweke vizur, kwani kuna sehem nimeandika nahitaji perfect man, soma vizuri uelewe kabla ya kucommentKuna haka kamsemo ka kwa akina thumuni (50 cent). "The perfect wife is the one who marries an imperfect man and changes him to be perfect husband".
Sasa ukishaona mavigezo mengi ujue hapo......
Pole sana. Unayemtafuta hutompata. Muombe Mungu akupe mume mwema. Itakusaidia. VIGEZO VYAKO MTU HUKO HAJAZALIWA KWA DUNIA YA LEO.Tutafutane kama bado jujapata
Yaani uliyemquote na dhana ya comment yako mbingu na ardhiPole sana. Unayemtafuta hutompata. Muombe Mungu akupe mume mwema. Itakusaidia. VIGEZO VYAKO MTU HUKO HAJAZALIWA KWA DUNIA YA LEO.
Nikweli wanawake wote wanaokuja kutafua wanaume humu hulenga kupata wanaume wenye elimu kubwa wakiamini ndio wenyemaisha mazuri. Kuna mmoja alionekana kweli anania ya kuolewa lakini nilipokuwa muazi kumwambia ukweli kiwango cha elimu yangu hakupokea simu yangu tenainasemekana mkiambiwa kazi zao huko pm mnachikichia moja kwa moja tehe tehe tehe