Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Msifanye mapenzi mhhh nani anataka kununua mbuzi ndani ya gunia?
Hahahaa hiki kigezo naoan kinakua kigumu kwa wandugu zangu
Hahahaa hiki kigezo naoan kinakua kigumu kwa wandugu zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio weusi huo mama... mim mweusi kwenye sura tu, ila kwengine ni maji ya kunde ... itabidi nianze kuoga kwa maji ya kunyonyolea kuku.Sijakataa weusi lkn sio kama Baraka de prince
Hii assessment itachukua muda gani?8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Tatizo lako sio dogoHabari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
Tatizo ganTatizo lako sio dogo
Sio mbayaNimefail kigezo kimoja cha Upole kiasi,
mimi ni mpole sana
It dependsHii assessment itachukua muda gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Si ndio weusi huo mama... mim mweusi kwenye sura tu, ila kwengine ni maji ya kunde ... itabidi nianze kuoga kwa maji ya kunyonyolea kuku.
Kwa aliye serious wala hata sio kigumuMsifanye mapenzi mhhh nani anataka kununua mbuzi ndani ya gunia?
Hahahaa hiki kigezo naoan kinakua kigumu kwa wandugu zangu
Pita HV baba [emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117]bila shaka utakuwa muislamu jina usiyejua taratibu za dini yako ziko vp...
ulikotoka umetoka kwenye haramu na ulichitoa hapa kama tangazo nacho pia haramu, tafuta watu wenye utambuzi wa dini yako unaishi nao ktk jamii inayokuzunguka wakuelekeze nini cha kufanya na siyo kuhangaikahangaika huku mtandaoni, kwani huko ni kukiuka taratibu za iman yako.
It depends
Ambae yuko serious wala hawezi kuuliza hilo swaliPlease weka facts ili watu wajue wana expect nini.
We uliekamilika unatafuta nn huku kwenye love connect au ulijua ni forum ya dini?? Kila mtu na imani yake na maisha yake piabila shaka utakuwa muislamu jina usiyejua taratibu za dini yako ziko vp...
ulikotoka umetoka kwenye haramu na ulichitoa hapa kama tangazo nacho pia haramu, tafuta watu wenye utambuzi wa dini yako unaishi nao ktk jamii inayokuzunguka wakuelekeze nini cha kufanya na siyo kuhangaikahangaika huku mtandaoni, kwani huko ni kukiuka taratibu za iman yako.