Serious Note: Hivi wanawake wanatushindwa wapi ?nazungumzia usafi wa mazingira.

Serious Note: Hivi wanawake wanatushindwa wapi ?nazungumzia usafi wa mazingira.

myplusbee

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
3,612
Reaction score
6,158
Nimekuwa inspired baada ya kufika kwenye nyumba (soma: kabanda) moja hivi; ya hovyo hovyo tu! Kilichonifurahisha sasa! Yaani pazia la pale mlangoni nilitamani nijiviringishie; yaani saaaaaaaaaafi, utadhani katoka kulinunua Kariakoo! Niliyemwendea pale, ni mdada wa makamo na pale anaishi kwao.

Huku nikisita sita, akanikaribisha mpaka ndani! Ndo chumba chake hicho. Huko chumbani sasa; ingawaje ni chumba chenye kitanda cha kawaida lakini kimetandikwa nadhifu hadi kinatia nyege! Nilitamani nijitupie pale kitandani, lakini tunaheshimiana sana na huyu dada!

Nikakumbuka ghetto kwangu:- hili niliache kwanza kwa sababu mie ni rough tu tangia hapo! Na kama kuwa rough kunamfanya mtu asifike mbinguni, basi mie nitafanya kuisikia tu! Siku nilipokataa kujigawa bure hata kwangu mimi mwenyewe ni pale nilipotoka kwenye mihangaiko nikafikia sebuleni! Ghafla nikapata shida ya kutaka kutumia beseni! Nikahangaika kishenzi kulitafuta; hadi nje! Nikajuwa wakati natoka nililiacha nje na watu wamelilamba! Usiku naenda nalala, Hamaad! Si nalikuta kitandani!

Yaani beseni la kuoshea vyombo nililiacha kitandani!

Siku moja hivyo hivyo! Tafuta mswaki! Tafuta mswaki hadi ikabidi nikaunune mwingine! Baadae sana nauukuta kwenye jokofu!! Haraka zingine za kijinga sana!

Kwahiyo haya ya kwangu mimi tuyaache tu kwa sababu najijua mwenyewe, and I know God isn't fair at all. Haiwezekani anifanyie hivi bhana.

Turudi kwa mshikaji wangu mmoja hivi! Huyu mwana ukikutana nae mtaani unaweza kudhani anamiliki mtandao wa Dry Cleaners hapa mjini! Jamaa msafi bhana; we acha tu! Na vile jamaa jamaa ni white (though baadae nikagundua anapenda sana mafuta ya hovyo hovyo including ya kufanya nywele ziwe curled), lazima uamini akifika Kino, anaingia kwenye Dry Cleaner yake na kubadili, na akifika Mwenge, zile za Kino anapiga chini anapiga zingine!

Jamaa ni smart kwa 105%!

Rudi ghetto kwake sasa! Kudadadeki! Si kwa mara ya kwanza nafika ghetto kwake sikuamini kwamba yule mshikaji ndie huyu! Jamaa ni rough kuanzia mlango wa kuingilia sebuleni hadi chumbani! Huwezi amini, hiyo siku nilikuta kondom zilizotumika hapo hapo sebuleni! Yaani kaleta demu, lakini wakaamua kulala sebuleni na wakafanya yao hapo hapo!

Huo mshuka sasa!!

Na wala usidhani nilienda asubuhi sana!!!

Walioweka Grade ya A na A+ wala hawakukosea! Mi najua ni rough kiwango cha A lakini kuniweka pamoja na huyu mwana, itakuwa ni kunionea! Huyu hata A+ ni kumshusha bali ilitakiwa A++ kabisa!!

Halafu kuna huyu mdogo wangu; mdogo wangu kabisa toka nitoke!!

Dogo anajua kuvaa huyu!! Halafu hata akichukua mtumba wa jero lazima dogo utamtoa fresh tu!! Nadhani wakina mama wapenda viben10 watapata taabu sana kwa huyu dogo!

Huyu msen'ge na mwenyewe ukikutana nae mitaa ya Posta unaweza kudhani ni "Teller" pale BoT jinsi anavyokuwa smart!

Mara nyingi nilikuwa nikifika home kwetu huwa naishia sebuleni hadi naondoka!! Sasa siku moja nikaa pale hadi usiku sana kwahiyo nikaamua nilale tu! Sikupata shaka, kwa jinsi dogo alivyo nadhifu; nikatimba room kwake moja kwa moja nikitarajia nikalale huko!!

Sitaki maswali kwanini niliamua kumwachia chumba chake na kurudi kulala kwenye makochi sebuleni!!

Mimi bhana ni rough kweli kweli lakini cha ajabu nataka nikienda kwa mwenzangu nikute nadhifu na kama kulala basi pawe nadhifu ingawaje kwangu hakupo hivyo!

Si Wahenga walishasema kwamba Kila Kitanda na Kunguni Wake, au?! Wa kitandani kwangu nadhani huwa wananionea aibu bhana, kwahiyo huwa wananisubiri hadi nilale fofofo ndipo wanaanza ndipo waanze kufyonya nutrients!

Si unajua tena Zimwi Likujualo Halikuli Likakwisha!!

Halafu nimemkumbuka mshikaji mmoja hivi ambae tulikuwa tunaishi nyumba moja huku yeye akiwa mwanafunzi wa chuo fulani! Yule dogo f'ala sana; yaani wala hafahamu shuka zinazotufaa watu kama sisi!! Dogo kuna siku kaanika mashuka yake, duh! Nikajiuliza sasa kama hapa dogo ndo kayapiga na ma-OMO au na ma-FOMA, yalikuwa katika hali gani kabla ya hilo zoezi!!

Ukweli mchungu ni kwamba, majority ya sisi wanaume tunakuwa rough sana kwenye magheto yetu!! Na linapokuja suala la mashuka, ndo balaa tupu!!! Demu usiende ghetto kwa mshikaji ukakuta kitanda kama cha Guest House ukadhani daily mchizi ndo anakua hivyo! Lazima jamaa atakuwa na shuka moja au mawili kwa ajili ya show huyo!!! Siku muibukie ghetto bila taarifa kama hujakuta anafungua mlango nusu nusu huku mwenyewe kabana mlangoni ili kama anayegonga ni unauthorized person basi aishie hapo hapo mlangoni!!

Msitake kutuletea umbeya wenu hapa, ebo!!

Mi ndo nimeanzisha mtindo wa kuweka fagio standby! Nikisikia "ngo ngo ngo", yaani mtu anakuja bila taarifa, fasta nakimbilia fagio langu na kulishika mkononi ndipo nafungua eti nijfanye hii shakala baghala anayoiona ni kwavile nafanya usafi!

Yaani bora mtu utupiwe Jini Mahaba utajua unakula bila kuhudumia kuliko majini mengine haya!!

Sasa swali langu ndo lile lile! Hivi nyie wanawake mnafanya fanya vipi?! Hebu nipeni siri yenu ili na mimi nijaribu manake kila ninapojaribu, wapi!! Seriously, naomba training ya "How to Keep Your Ghetto Clean and Organized 24/7!"
 
mbona kawaida hata hatushangaani ila nakushangaa wewe unashangaa au we mgeni wa kiumeni naona kama umekabidhiwa uume siku hizi za karibuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

mi kweli gheto si mpangiliaji kwa kulitambua ilo tangu hata nilipokua kwa wazazi mama alikua hanishangai maana baba nae alikua ivi ivo

gheto kwangu mi ni kitanda mashuka mepesi kwa kufua, masofa mepesi kwa kusafisha si vitambaa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona kawaida hata hatushangaani ila nakushangaa wewe unashangaa au we mgeni wa kiumeni naona kama umekabidhiwa uume siku hizi za karibuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

mi kweli gheto si mpangiliaji kwa kulitambua ilo tangu hata nilipokua kwa wazazi mama alikua hanishangai maana baba nae alikua ivi ivo

gheto kwangu mi ni kitanda mashuka mepesi kwa kufua, masofa mepesi kwa kusafisha si vitambaa



Sent using Jamii Forums mobile app
Wote tunatambua hilo lakini haimaanishi hatutaki kilicho bora! Sasa swali langu ndo hapo, hawa wenzetu wanafanya fanya vipi!!
 
Hata Me nadhifa wapo si mavazi tu hata mazingira, kuna me fulani alimuazima mpangaji mwenzie ni ke ndoo atumie bhasi yule baada ya kuitumia ndoo akaosha akairudisha yule dada naona kitendo kile kilimgusa bhasi toka siku hiyo akawa anaosha ndoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifa ya mwanaume au gheto la kiume ni uchafu,
Ukiingia mpakaupige chafya mara tatu kwanza ndo unajua upo kwenye himaya nyingne.
ukilala kwake kesho unaamka na mafua mepesi yamekukamata,
Mwanaume kuwa msafi kupitiliza gheto kwake,me wa namna hyo umtilie mashaka kidogo.
maana huenda ana shida flan aisee.
Hongera ww ni mwanaume wa kweli.
Hujatutia aibu wenzio.
 
Nimekuwa inspired baada ya kufika kwenye nyumba (soma: kabanda) moja hivi; ya hovyo hovyo tu! Kilichonifurahisha sasa! Yaani pazia la pale mlangoni nilitamani nijiviringishie; yaani saaaaaaaaaafi, utadhani katoka kulinunua Kariakoo! Niliyemwendea pale, ni mdada wa makamo na pale anaishi kwao.

Huku nikisita sita, akanikaribisha mpaka ndani! Ndo chumba chake hicho. Huko chumbani sasa; ingawaje ni chumba chenye kitanda cha kawaida lakini kimetandikwa nadhifu hadi kinatia nyege! Nilitamani nijitupie pale kitandani, lakini tunaheshimiana sana na huyu dada!

Nikakumbuka ghetto kwangu:- hili niliache kwanza kwa sababu mie ni rough tu tangia hapo! Na kama kuwa rough kunamfanya mtu asifike mbinguni, basi mie nitafanya kuisikia tu! Siku nilipokataa kujigawa bure hata kwangu mimi mwenyewe ni pale nilipotoka kwenye mihangaiko nikafikia sebuleni! Ghafla nikapata shida ya kutaka kutumia beseni! Nikahangaika kishenzi kulitafuta; hadi nje! Nikajuwa wakati natoka nililiacha nje na watu wamelilamba! Usiku naenda nalala, Hamaad! Si nalikuta kitandani!

Yaani beseni la kuoshea vyombo nililiacha kitandani!

Siku moja hivyo hivyo! Tafuta mswaki! Tafuta mswaki hadi ikabidi nikaunune mwingine! Baadae sana nauukuta kwenye jokofu!! Haraka zingine za kijinga sana!

Kwahiyo haya ya kwangu mimi tuyaache tu kwa sababu najijua mwenyewe, and I know God isn't fair at all. Haiwezekani anifanyie hivi bhana.

Turudi kwa mshikaji wangu mmoja hivi! Huyu mwana ukikutana nae mtaani unaweza kudhani anamiliki mtandao wa Dry Cleaners hapa mjini! Jamaa msafi bhana; we acha tu! Na vile jamaa jamaa ni white (though baadae nikagundua anapenda sana mafuta ya hovyo hovyo including ya kufanya nywele ziwe curled), lazima uamini akifika Kino, anaingia kwenye Dry Cleaner yake na kubadili, na akifika Mwenge, zile za Kino anapiga chini anapiga zingine!

Jamaa ni smart kwa 105%!

Rudi ghetto kwake sasa! Kudadadeki! Si kwa mara ya kwanza nafika ghetto kwake sikuamini kwamba yule mshikaji ndie huyu! Jamaa ni rough kuanzia mlango wa kuingilia sebuleni hadi chumbani! Huwezi amini, hiyo siku nilikuta kondom zilizotumika hapo hapo sebuleni! Yaani kaleta demu, lakini wakaamua kulala sebuleni na wakafanya yao hapo hapo!

Huo mshuka sasa!!

Na wala usidhani nilienda asubuhi sana!!!

Walioweka Grade ya A na A+ wala hawakukosea! Mi najua ni rough kiwango cha A lakini kuniweka pamoja na huyu mwana, itakuwa ni kunionea! Huyu hata A+ ni kumshusha bali ilitakiwa A++ kabisa!!

Halafu kuna huyu mdogo wangu; mdogo wangu kabisa toka nitoke!!

Dogo anajua kuvaa huyu!! Halafu hata akichukua mtumba wa jero lazima dogo utamtoa fresh tu!! Nadhani wakina mama wapenda viben10 watapata taabu sana kwa huyu dogo!

Huyu msen'ge na mwenyewe ukikutana nae mitaa ya Posta unaweza kudhani ni "Teller" pale BoT jinsi anavyokuwa smart!

Mara nyingi nilikuwa nikifika home kwetu huwa naishia sebuleni hadi naondoka!! Sasa siku moja nikaa pale hadi usiku sana kwahiyo nikaamua nilale tu! Sikupata shaka, kwa jinsi dogo alivyo nadhifu; nikatimba room kwake moja kwa moja nikitarajia nikalale huko!!

Sitaki maswali kwanini niliamua kumwachia chumba chake na kurudi kulala kwenye makochi sebuleni!!

Mimi bhana ni rough kweli kweli lakini cha ajabu nataka nikienda kwa mwenzangu nikute nadhifu na kama kulala basi pawe nadhifu ingawaje kwangu hakupo hivyo!

Si Wahenga walishasema kwamba Kila Kitanda na Kunguni Wake, au?! Wa kitandani kwangu nadhani huwa wananionea aibu bhana, kwahiyo huwa wananisubiri hadi nilale fofofo ndipo wanaanza ndipo waanze kufyonya nutrients!

Si unajua tena Zimwi Likujualo Halikuli Likakwisha!!

Halafu nimemkumbuka mshikaji mmoja hivi ambae tulikuwa tunaishi nyumba moja huku yeye akiwa mwanafunzi wa chuo fulani! Yule dogo f'ala sana; yaani wala hafahamu shuka zinazotufaa watu kama sisi!! Dogo kuna siku kaanika mashuka yake, duh! Nikajiuliza sasa kama hapa dogo ndo kayapiga na ma-OMO au na ma-FOMA, yalikuwa katika hali gani kabla ya hilo zoezi!!

Ukweli mchungu ni kwamba, majority ya sisi wanaume tunakuwa rough sana kwenye magheto yetu!! Na linapokuja suala la mashuka, ndo balaa tupu!!! Demu usiende ghetto kwa mshikaji ukakuta kitanda kama cha Guest House ukadhani daily mchizi ndo anakua hivyo! Lazima jamaa atakuwa na shuka moja au mawili kwa ajili ya show huyo!!! Siku muibukie ghetto bila taarifa kama hujakuta anafungua mlango nusu nusu huku mwenyewe kabana mlangoni ili kama anayegonga ni unauthorized person basi aishie hapo hapo mlangoni!!

Msitake kutuletea umbeya wenu hapa, ebo!!

Mi ndo nimeanzisha mtindo wa kuweka fagio standby! Nikisikia "ngo ngo ngo", yaani mtu anakuja bila taarifa, fasta nakimbilia fagio langu na kulishika mkononi ndipo nafungua eti nijfanye hii shakala baghala anayoiona ni kwavile nafanya usafi!

Yaani bora mtu utupiwe Jini Mahaba utajua unakula bila kuhudumia kuliko majini mengine haya!!

Sasa swali langu ndo lile lile! Hivi nyie wanawake mnafanya fanya vipi?! Hebu nipeni siri yenu ili na mimi nijaribu manake kila ninapojaribu, wapi!! Seriously, naomba training ya "How to Keep Your Ghetto Clean and Organized 24/7!"
😂😂😂😂😂😂 mkuu nimechek mpk majiran wanaulizana
 
Back
Top Bottom