Serious Note: Hivi wanawake wanatushindwa wapi ?nazungumzia usafi wa mazingira.

Serious Note: Hivi wanawake wanatushindwa wapi ?nazungumzia usafi wa mazingira.

Mm demu kama kaja kunitembelea na kulala nitafanya kila kitu kuanzia kudeki, kupika na kutandika kitanda ili aone mfano, nikiludi kutoka kwenye miangaiko nikakuta kamiss step ata moja huyo biashara imeishia hapo. Ata majirani uwa wananishangaa kwakweli mimi ni usafi usafi ni mm, nasema mpaka nipate mwanamke anayenizidi usafi vinginevyo itanichukua muda kuoa.
 
Mm demu kama kaja kunitembelea na kulala nitafanya kila kitu kuanzia kudeki, kupika na kutandika kitanda ili aone mfano, nikiludi kutoka kwenye miangaiko nikakuta kamiss step ata moja huyo biashara imeishia hapo. Ata majirani uwa wananishangaa kwakweli mimi ni usafi usafi ni mm, nasema mpaka nipate mwanamke anayenizidi usafi vinginevyo itanichukua muda kuoa.
Jomba wewe sio muoaji! Hadi atakayekuzidi wewe wakati kuna wengine wanakuwa na usafi unaotokana na some psychological factors? Kama nawe ni mmoja wao halafu unatarajia mtu wa kawaida akuzidi ndipo awe ndie chaguo lako, basi hautaoa!!!
 
Daa nyie mnajiita wachafu ukiingia gheto kwangu lazima uumwe mafua,net ina miezi mitatu asaiv siitoag yaan nafanya kuingia tu...mashuka nina miezi mitatu hayajafuliwa..nguo zangu zenyewe madobi wanazikataa ikiwemo mashuka labda niwalipe pesa mara mbili ndo wanakubali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifa ya mwanaume au gheto la kiume ni uchafu,
Ukiingia mpakaupige chafya mara tatu kwanza ndo unajua upo kwenye himaya nyingne.
ukilala kwake kesho unaamka na mafua mepesi yamekukamata,
Mwanaume kuwa msafi kupitiliza gheto kwake,me wa namna hyo umtilie mashaka kidogo.
maana huenda ana shida flan aisee.
Hongera ww ni mwanaume wa kweli.
Hujatutia aibu wenzio.
Haha haha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom