Serious Note: Hivi wanawake wanatushindwa wapi ?nazungumzia usafi wa mazingira.

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea na malezi aliyokupa aliyekulea,, asilimia kubwa watoto kiume african tunalelewa kimfumo dume,, tukiwa wadogo tulikalilishwa kuwa kuosha vyombo, kudeki , kupika tuwaachia dada zetu,, hapa ndipo mchawi wetu alipo,, hadi unafika umri flani ndo unaanza kukaa ghetto,, unapewa chumba na mzee wako pale home,, unaishia kubandika mipicha ya wasanii ukutani, kufua neti hadi ibadilike rangi hahaha,, kudeki kwenyewe ni pale itokee panya amekufa,, ila chumba cha dada yako kipo smart,,

Pamaja na hayo ukijielewa unabadilika na mambo yanaenda tuu,,

Hakikisha mtoto wa kiume umekosa sana basi angalau uwe na shuka 4, pazia za kubadirisha kadhaa, perfyum kadhaa hata shellis, soksi pea 7, boxa 10, vest 10, mengine ongezea mzee baba,,

Mimi mtoto tepetepe akiingia gheto najua lazima atanizulumu boxa, perfyum, n.k



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu utasikia nataka mwanamke msafi...huyo mwanamke msafi ataenda kwa msafi mwenzie


Hakuna ugumu mkuu tatizo ni uvivu tu hebu jaribu kuacha uvivu utaweza tu. Mbona mengine hamuoni uvivu? Halafu acheni kuona kama uchafu kwa mwanaume ni sifa! Kuna wanaume utasikia mwanaume unatandika kitanda ili iweje? Mwanaume unafua socks ili iweje? Mwanaume unaosha vyombo ili iweje? Hizo ni kazi za wanawake bhana! Hivi uchafu ni sifa? Mkiacha hili mtaweza pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii wala sio an African thing! Kwenye familia za Kiafrika, kupika kupo exclussively kwa wanawake! Hata kama wanawake ndio hao hao na issue za kuosha vyombo, lakini suala la kuosha vyombo hata watoto wa kiume huwa wanafanya hata kama sio kwa kiwango kikubwa!

Tukirudi mtaani, wanaume hawaoni taabu kupika; shughuli ile ile ambayo makuzi yake ilikuwa ni ya wanawake! Lakini linapokuja suala la vyombo ambalo hata watoto wa kiume hushiriki; tatizo! WHY?!

Huyu mtu haoni taabu kufua na kunyoosha vizuri nguo zake, ambazo huenda wakati yupo mdogo alikuwa anafuliwa na dada zake au mfanyakazi! Lakini linapokuja suala la kufua taulo tu, balaa tupu (sipendi kuwa na taulo kwa sababu najua nitaishia kulitupa tu)!
 
Halafu utasikia nataka mwanamke msafi...
NDIYOOOO! Kumbe ulitakaje?! Sasa na miuchafu uchafu yako ulitarajia uende nyumba ya nani!!!!
huyo mwanamke msafi ataenda kwa msafi mwenzie...
Watch out, n'shasema watu wanakuwa na zana za emergency!
Hakuna ugumu mkuu tatizo ni uvivu tu hebu jaribu kuacha uvivu utaweza tu. Mbona mengine hamuoni uvivu?
Hapo ndipo unatakiwa ujiulize! Hivi mtu anayevunja mawe, kuzama migodini, kufanya kila aina ya kazi za shuruba ndo aone uvivu kupangalia ghetto?! There's something more than uvivu; and that's what am trying to find out!!
Halafu acheni kuona kama uchafu kwa mwanaume ni sifa!
Sijawahi kusikia kuna mwanaume anaona sifa kwa hilo suala, na ndio maana:-
Wachafu nyie khaaaa!!!!!

Hebu nitoe mashuka na boxa huku uvunguni maana nlishasahau kbs..

SIPENDI UCHAFU MIE!
Mwana hapo anaamua kuyaweka madini uvunguni! Angeona sifa, angeyaacha tu yawe maonesho!!!!!
Kuna wanaume utasikia mwanaume unatandika kitanda ili iweje? Mwanaume unafua socks ili iweje? Mwanaume unaosha vyombo ili iweje? Hizo ni kazi za wanawake bhana! Hivi uchafu ni sifa? Mkiacha hili mtaweza pia
JF ni zaidi ya uijuavyo! Kwa ufupi, ni wanogesha genge tu hao! Wanakerwa na urafu wao lakini wanashindwa kuona msingi wa tatizo!!! Atasemaje kazi za mwanamke wakati ghetto yupo peke yake?!
 
Samahani mkuu huyo ni wewe kwa avatar.?
Sent using Unknown device
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…