[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu nimechek mpk majiran wanaulizana
haya maisha bwana ni shida yaani wanaume wengine tunapata shida habari eti badala ya kwenda kufua shuka nimeamua tu nilichome!Bwah! Bwah! Bwah!
yoote mpk kurudia,maana inachekesha n mm napenda kucheka sana
yoote mpk kurudia,maana inachekesha n mm napenda kucheka sana
hujanizidi mimi boss! nimerudia rudia kusoma
hujanizidi mimi boss! nimerudia rudia kusoma
ππ asa nimekuchekesha na nn daddy!;Mimi habari hiyo haijanichekesha nimeishia paragraph ya 3, mambo ni mengi mno muda wenyewe mchache.. Wewe ndio umenichekesha
Sent using Unknown device
ππ asa nimekuchekesha na nn daddy!;Mimi habari hiyo haijanichekesha nimeishia paragraph ya 3, mambo ni mengi mno muda wenyewe mchache.. Wewe ndio umenichekesha
Sent using Unknown device
[emoji23][emoji23] asa nimekuchekesha na nn daddy!;
ππ Aya bhana
Jomba wewe sio muoaji! Hadi atakayekuzidi wewe wakati kuna wengine wanakuwa na usafi unaotokana na some psychological factors? Kama nawe ni mmoja wao halafu unatarajia mtu wa kawaida akuzidi ndipo awe ndie chaguo lako, basi hautaoa!!!Mm demu kama kaja kunitembelea na kulala nitafanya kila kitu kuanzia kudeki, kupika na kutandika kitanda ili aone mfano, nikiludi kutoka kwenye miangaiko nikakuta kamiss step ata moja huyo biashara imeishia hapo. Ata majirani uwa wananishangaa kwakweli mimi ni usafi usafi ni mm, nasema mpaka nipate mwanamke anayenizidi usafi vinginevyo itanichukua muda kuoa.
Haha hahaSifa ya mwanaume au gheto la kiume ni uchafu,
Ukiingia mpakaupige chafya mara tatu kwanza ndo unajua upo kwenye himaya nyingne.
ukilala kwake kesho unaamka na mafua mepesi yamekukamata,
Mwanaume kuwa msafi kupitiliza gheto kwake,me wa namna hyo umtilie mashaka kidogo.
maana huenda ana shida flan aisee.
Hongera ww ni mwanaume wa kweli.
Hujatutia aibu wenzio.