Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!


Asante kwa kunielewa........! Mimi nilifakiwa tupo second phase....''intelijensia'' kama unanisoma......!

XOXOQY .....utapata tu hapa....ila jiangalie wengine mafrustration yamezidi, wamechanganyikiwa baadala ya kukupa CV yake, anakupa CV ya jamaa aliyemfrustrate, halafu baadae anastuka keshachemka.....just be tolerant!
 
tatizo unacheza na vidigidigi wakati babuyo nataka kuendesha lendikruza jeupe...

Ninalitambua hilo Babu,ila huyu mtu moyo umegoma kabisa kuondoka.....nimeshindwa kumuacha na sitaki umuite digidigi babu.....nalia..:A S 20:
 
sasa mshaichakachua mpaka 17 mwataka iwe blockked tena ifungwe kabisa we finest usifanye hivyo???haaa kumbe ndio ulivyo hivi??
:laugh::laugh::laugh:Shsssss!!! Usinisemee basi, halafu mwenye thread sijui kaenda wapi naona yuko hapo chini anachungulia tu
 
hehehhehheh umemuona kumbe??? haya basi usifanye utundu sana na yeye atatia timu hapa sasa hivi n si umemsoma mwenyewe yuko serious hana mchezo atakuja kukizungumza kile kikabila chake hapa tusielewane tena heheheh tutachangukana kama mawingu hapa....
:laugh::laugh::laugh:Shsssss!!! Usinisemee basi, halafu mwenye thread sijui kaenda wapi naona yuko hapo chini anachungulia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…