The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Utakosaje bahati wakati mimi nipo hapa au kwa vile sijasema l.o.lInawezekana mimi ndo naikosa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakosaje bahati wakati mimi nipo hapa au kwa vile sijasema l.o.lInawezekana mimi ndo naikosa!
Tunamuoshea nyota mshkaji!Wadada wataona thread yake imesimama wamkubali!hili sredi linaendelea bado? ankal na lizzy acheni kuchakachua ma sredi ya watu bana
Utakosaje bahati wakati mimi nipo hapa au kwa vile sijasema l.o.l
hehehe taratib ankal, jamaa ana hasira za kuchakachuliwa sredi yake anaweza akareport abyuz anytimeHahaha!!! Ankal kijijini wanasubiri outcome ya hili sredi
huyu kafuja kutaja mambo ya north pole na south pole, ilikuwa ajikite tu halaf anaekuja mbele anachinja, kuelewana ni mbele kwa mbele.Tunamuoshea nyota mshkaji!Wadada wataona thread yake imesimama wamkubali!
Nikuanzishie thread na mimi kama alivyofanyiwa Nilham :laugh::laugh::laugh:Hehehe!Embu sema na mimi nijiskie nimo!
Nataka nimuimpoti Lizzy kwenye PM ya jamaahehehe taratib ankal, jamaa ana hasira za kuchakachuliwa sredi yake anaweza akareport abyuz anytime
Kumbe unataka kunitoa zawadi?Haya bwana!Nataka nimuimpoti Lizzy kwenye PM ya jamaa
Yani ana zero kwenye somo la matangazo ya biashara!Mi ngoja nisubirie mkaskazini mwenzangu!huyu kafuja kutaja mambo ya north pole na south pole, ilikuwa ajikite tu halaf anaekuja mbele anachinja, kuelewana ni mbele kwa mbele.
si unaona amempoteza lizzy sasa
Nikuanzishie thread na mimi kama alivyofanyiwa Nilham :laugh::laugh::laugh:
lakini amejitahidi, si umeona ameweka sub-headings na ameziunderline kwenye katangazo kake.Yani ana zero kwenye somo la matangazo ya biashara!Mi ngoja nisubirie mkaskazini mwenzangu!
hehehe taratib ankal, jamaa ana hasira za kuchakachuliwa sredi yake anaweza akareport abyuz anytime
Halafu naona jamaa yuko kimya atakuwa ameishaanza kupata PM l.o.lKumbe unataka kunitoa zawadi?Haya bwana!
kuna cha kuripoti hapa?ukichakachuliwa na ww chakachua we subiri tu!
dah! kamanda hii imetulia kweli aisee! ukihitaji company ya kuichakachua nyengine nishtuekuna cha kuripoti hapa?ukichakachuliwa na ww chakachua we subiri tu!
lakini amejitahidi, si umeona ameweka sub-headings na ameziunderline kwenye katangazo kake.
Halafu naona jamaa yuko kimya atakuwa ameishaanza kupata PM l.o.l
unafanya kazi NECTA nini?Bado kafeli!
Yani ana zero kwenye somo la matangazo ya biashara!Mi ngoja nisubirie mkaskazini mwenzangu!
Dah!! Kumbe tumeipeleka page nyingiKwangu hawezi...ameshanipa waning!