Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Tunamuoshea nyota mshkaji!Wadada wataona thread yake imesimama wamkubali!
huyu kafuja kutaja mambo ya north pole na south pole, ilikuwa ajikite tu halaf anaekuja mbele anachinja, kuelewana ni mbele kwa mbele.
si unaona amempoteza lizzy sasa
 
huyu kafuja kutaja mambo ya north pole na south pole, ilikuwa ajikite tu halaf anaekuja mbele anachinja, kuelewana ni mbele kwa mbele.
si unaona amempoteza lizzy sasa
Yani ana zero kwenye somo la matangazo ya biashara!Mi ngoja nisubirie mkaskazini mwenzangu!
 
Yani ana zero kwenye somo la matangazo ya biashara!Mi ngoja nisubirie mkaskazini mwenzangu!
lakini amejitahidi, si umeona ameweka sub-headings na ameziunderline kwenye katangazo kake.
 
Yani ana zero kwenye somo la matangazo ya biashara!Mi ngoja nisubirie mkaskazini mwenzangu!

lHIVI KUANZIA LINI WAKASKAZN WAKAWA NA UTANI NA WAKUSINI? maana ckuelewi lizzy.KWANZA NI BORA 2PGE KURA YA MAON TUJITENGE TU,WAKUSIN WAWE KUSINI NA WALE WA KASKAZN WAWE HUKOHUKO!
 
Back
Top Bottom