Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Be good!dah waheshimiwa nalog out na sitoonekana kwa muda mref kidogo hapa JF. yoyote atakaeniulizia mwambieni sijafariki bana nitarejea.
all ze best. lidumu JF na Invizibo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Be good!dah waheshimiwa nalog out na sitoonekana kwa muda mref kidogo hapa JF. yoyote atakaeniulizia mwambieni sijafariki bana nitarejea.
all ze best. lidumu JF na Invizibo
Lizzy sasa fanya kweli basiNichakachue jiografia kisa?Labda kama ana ghorofa..duka..Range sport na Rav4!
dah! ankal umeread between ze lines. unajua majuzi kuliripuka kabisa yaani. hii JF we acha tu. sasa tunataka kufanya baby come back banaAnkal mwalimu wako mkuu amerudi ndio maana umekimbia fasta Khee Kheee kheeee
hivi hautonimiss?Be good!
Lizzy sasa fanya kweli basi
Ukianza wewe na mimi ntakumiss!hivi hautonimiss?
Basi nifanyie mimi kweli l.o.lNifanye kweli wapi tena?Hapa hamna wakumfanyia kweli!
dah! acha tusign contract. nitaanza mimi banaUkianza wewe na mimi ntakumiss!
Halafu mbona jamaa hatupi fidibaki yaani sredi imefika page ya kumi hamna fidibaki hata moja
Punguza kucheka kwanza!Alafu mimi ndo mdada...anza wewe!Basi nifanyie mimi kweli l.o.l
ok nimepata ujumbe kutoka yahoo wananambia my inbox is almost full,nimeenda kufungua nimekuta email nying tu za warembo ingawa nyingine za kutoka kule niliko kukataa ingawa watumaj wa huko wameahidi kuchenji,sinakinyongo nao nimezpokea ila kuna huyu mmoja ame2ma kama ishirin peke yake cjui arifikiri mwenye nying ndo atashinda,ni dada mmoja amejitambulisha kwa jina la lizzy.lakn nmem-disqualify kutokana na ukwel kwamba ameandika kiingereza kibovu sana hivo na hc huyu co mkaskazn bali sh is from india!
dah! acha tusign contract. nitaanza mimi bana
Natumaini umepata ujumbe wanguPunguza kucheka kwanza!Alafu mimi ndo mdada...anza wewe!
Lizzy naomba unitumie PM nataka niangalie kama PM zangu zinafanya kazi
Lizzy naomba unitumie PM nataka niangalie kama PM zangu zinafanya kazi
Kheee Kheeeee, sasa wewe unaniacha peke yangu mimi sipendiSikuelewi.....