Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

We Ksokso naona umekua kama Jafarhymes...kukosa imekua tabu..unaanza kunipakazia!

teeteteeeh...umenkumbusha...kuachwa...kuachwa aaaah...kuachwa nshuhur pevu...
 
Nikimpataaa....milele ntafurahii....ntaimba nampenda hadi mwisho wa uhaiii*2
 


....I thought ulikuwa serious..........!
 
Kijana upo chuoni warembo kama mvua, kwanini watafuta mke huku? Haya sasa hamna utakachopata hapa, zaidi ni kejeli...Kila la kheri...kuna uliyepangiwa na Mungu
 
Kijana upo chuoni warembo kama mvua, kwanini watafuta mke huku? Haya sasa hamna utakachopata hapa, zaidi ni kejeli...Kila la kheri...kuna uliyepangiwa na Mungu

unalolisema hulijui,kama chuo kuna wake njoo uoe!
 
Lakini Biggy si ulisema

Nimejifunza uvumilivu
Sasa nina busara zaidi
I got all that!!......but I have not forgotten how to :boxing::boxing:na busara zangu zinaweza kunituma nitumie ujuzi wangu huo.
 
We Fynest nini hiki?Mi nlidhani tunataniana kumbe mwenzangu uko siriaz?
Kheee Kheee Mwambie Biggie apunguze ku-edit halafu na wewe nilikuwa nakuona mjanja kumbe hata hauwezi kushtukia kitu kama mtu ka-edit
 
Duh wanaJF kiboko......yaani sredi imepigwa uchakachuzi page ya tatu sijui ya 4 na sasa hivi iko 22 ukiangalia kichwa cha sredi na longolongo zinazoendelea tofauti. Muanzisha sredi mwenyewe naona amekubali matokeo na amejiunga rasmi kwenye uchakachuzi.........hahahahah. Btw wachakachuzi wakuu hapa ni

  1. The Finest
  2. Lizzy
  3. Michelle
  4. Hashycool
  5. ............
Endelea kujaza listi hiyo ndugu mtazamaji.
 

Da Womanizer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…