Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Hashy promise not to hurt me......in front of everyone......

The promises that I've made
have never meant as much as this
It's set in stone, the road is laid.
Promised with words, sealed with a kiss

I promise to be with you
to face every moment as one
I know this is real, I know this is true
We can't turn back now, the damage is done
 
mimi acha nikaanzishe sredi la michango ya harusi. acha tuwasiliane na uporoto atayarishe mbege

Dah Michelle kaanguka kwa mikono na miguu!!!
Mi naomba niwe mweka hazina wa vikao vya harusi:coffee:
 


I HAVE ACCEPTED YOU.......
I promise to be loyal,faithful,honest,caring and to always support you no matter what....
I love you!
 
mimi acha nikaanzishe sredi la michango ya harusi. acha tuwasiliane na uporoto atayarishe mbege

haya kuna sredi la jamaa mtoto wake mwizi hebu kampe ushauri utuache tu lavidiane huku huchelewi wewe!
 
Dah Michelle kaanguka kwa mikono na miguu!!!
Mi naomba niwe mweka hazina wa vikao vya harusi:coffee:

Wewe ndo mweka hazina mama mchungaji....hatutaki wizi wa michango tunakuamini wewe tu.......
 

Hi Kloro!! Mimi niko hapa nafurahia maongezi haya...🙂 yaani nyie watu mnafurahisha haswa!!!.... jamaa kaanzisha sredi lake la kutafuta mke....nyie mmeendelea kujiunganisha wenyewe.....🙂
 
I HAVE ACCEPTED YOU.......
I promise to be loyal,faithful,honest,caring and to always support you no matter what....
I love you!

kwetu hatuna historia ya magonjwa ya moyo....mbona mapigo yangu ni 4 times per second?
 
Hi Kloro!! Mimi niko hapa nafurahia maongezi haya...🙂 yaani nyie watu mnafurahisha haswa!!!.... jamaa kaanzisha sredi lake la kutafuta mke....nyie mmeendelea kujiunganisha wenyewe.....🙂

Keren.....long time my dear.....how are you???
Tunamfundisha mwenye thread namna mambo yaendavyo hadi kufikia ndoa.....vikwazo,vishawishi lakini mwisho kuna ushindi kama nia na dhamira zenu zinafanana........Kama kuna mtu ana nia na huyu kaka,akisoma pale juu tu atam-PM......:coffee:
 

Kuna mnugu napiga nae boksi huku ughaibuni anataka mwanaume wa kibongo. Je uko tayari kwa kuoa demu wa kinugu?
 

Hi Michelle!.... majukumu yalibana kidogo ndo maani nilipotea! Otherwize Iam good, thanks.
 
Hi Kloro!! Mimi niko hapa nafurahia maongezi haya...🙂 yaani nyie watu mnafurahisha haswa!!!.... jamaa kaanzisha sredi lake la kutafuta mke....nyie mmeendelea kujiunganisha wenyewe.....🙂
yote kasababisha michelle. yaani huyu michelle mtukutu sana walahi
 
haya kuna sredi la jamaa mtoto wake mwizi hebu kampe ushauri utuache tu lavidiane huku huchelewi wewe!
nathibitisha kwamba hilo tatizo halihusiani kabisa na DNA. awasiliane na polisi haraka
 
ni hasira zinaongea au ni Kloro ninayemjua au una interest huko unakojitetea.....l.o.l
jana usiku nilikaa na kufikiria nikagundua kwamba wanaume waaminifu hapa maeneo ya morogoro tupo wachache sana. tugombanieni jamani.
 
jana usiku nilikaa na kufikiria nikagundua kwamba wanaume waaminifu hapa maeneo ya morogoro tupo wachache sana. tugombanieni jamani.

Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaa,kazi ipo,tugombanie wenye hela na waaminifu pia???umesikiwa,endelea kufikiria,utagundua mengi mwaka huu...........:laugh::laugh:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…